• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Wilaya Emmanuel J. Luhahula amefanya ziara katika shule ya Sekondari Mtoa iliyopo kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba

Posted on: October 17th, 2018

Mkuu wa Wilaya Emmanuel J. Luhahula amefanya ziara katika shule ya Sekondari Mtoa iliyopo kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba na kuwakumbusha wanafunzi jukumu lao la msingi kuwa “Wazazi wanapokununulia sare, kalamu na madaftari wanahitaji matokeo mazuri, kila mmoja anamatajirio ya mbele na mungu awatangulie sana” 

Aidha katika ziara hiyo Mhe, Mkuu wa Wilaya amepokea madawati sitini(60) yaliotengenezwa na serikali ya vijiji vinavyoizunguka shule na kuyakabidhi kwa kaimu mkurugenzi. 

Mhe, Mkuu wa Wilaya ya Iramba akiwa katika Kijiji cha Masagi kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui amewataka wananchi kulinda amani ambayo ni tunu ya Taifa letu, tuache chokochoko za kugombea madaraka, tuhakikishe zahanati yetu tumeipaua kwa kuahidi kuchangia kiasi cha shilingi laki tano (500,000/=),amewaomba wazazi kuwapeleka watoto wote watakaofaulu shule, amewataka viongozi kuwakamata wote ambao hawajajenga vyoo na kuwapiga faini ya shilingi elfu hamsini (50,000/=) na kujenga choo, amewaomba wananchi waache kuwatunza wahamiaji haramu na kama wapo watoe taarifa mapema kwa Mkuu wa Wilaya, tuhakikishe tunapambana na rushwa kwa kutoa taarifa. 

Mhe, Mkuu wa Wilaya ya Iramba Emanuel J. Luhahula akiwa katia ziara katika Kijiji cha Kinkunku kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui ameawaambia wananchi kuwa anakerwa na mauwaji yanayofanyika hapo, amewaomba wamuhakikishie kumpa taarifa ya wale wanaofanya mauwaji ili yeye atume askari na kuwakamata wauwaji hao, amewataka wanachi hao waache kutunza siri za kijinga, 

Aidha amewaambia wananchi hao afurahishwi na kuwaozesha watoto “ ameagiza Maganga Mayala mzazi wa mtoto huyo,Juma Pili Njile muoaji na mlezi Juma Pili Kibanda wakamatwe wote wapelekwe mahakamani”Amewataka wananchi waimarishe amani “ Amani yetu ipo mikononi mwetu na kamwe watu wasijibanze katika mwamvuli wa dini kufanya ya hovyo, tuache kuanzisha chokochoko za kiimani”


Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.