• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Wilaya Emmanuel J. Luhahula amefanya ziara katika shule ya Sekondari Mtoa iliyopo kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba

Posted on: October 17th, 2018

Mkuu wa Wilaya Emmanuel J. Luhahula amefanya ziara katika shule ya Sekondari Mtoa iliyopo kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba na kuwakumbusha wanafunzi jukumu lao la msingi kuwa “Wazazi wanapokununulia sare, kalamu na madaftari wanahitaji matokeo mazuri, kila mmoja anamatajirio ya mbele na mungu awatangulie sana” 

Aidha katika ziara hiyo Mhe, Mkuu wa Wilaya amepokea madawati sitini(60) yaliotengenezwa na serikali ya vijiji vinavyoizunguka shule na kuyakabidhi kwa kaimu mkurugenzi. 

Mhe, Mkuu wa Wilaya ya Iramba akiwa katika Kijiji cha Masagi kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui amewataka wananchi kulinda amani ambayo ni tunu ya Taifa letu, tuache chokochoko za kugombea madaraka, tuhakikishe zahanati yetu tumeipaua kwa kuahidi kuchangia kiasi cha shilingi laki tano (500,000/=),amewaomba wazazi kuwapeleka watoto wote watakaofaulu shule, amewataka viongozi kuwakamata wote ambao hawajajenga vyoo na kuwapiga faini ya shilingi elfu hamsini (50,000/=) na kujenga choo, amewaomba wananchi waache kuwatunza wahamiaji haramu na kama wapo watoe taarifa mapema kwa Mkuu wa Wilaya, tuhakikishe tunapambana na rushwa kwa kutoa taarifa. 

Mhe, Mkuu wa Wilaya ya Iramba Emanuel J. Luhahula akiwa katia ziara katika Kijiji cha Kinkunku kata ya Mtoa, Tarafa ya Shelui ameawaambia wananchi kuwa anakerwa na mauwaji yanayofanyika hapo, amewaomba wamuhakikishie kumpa taarifa ya wale wanaofanya mauwaji ili yeye atume askari na kuwakamata wauwaji hao, amewataka wanachi hao waache kutunza siri za kijinga, 

Aidha amewaambia wananchi hao afurahishwi na kuwaozesha watoto “ ameagiza Maganga Mayala mzazi wa mtoto huyo,Juma Pili Njile muoaji na mlezi Juma Pili Kibanda wakamatwe wote wapelekwe mahakamani”Amewataka wananchi waimarishe amani “ Amani yetu ipo mikononi mwetu na kamwe watu wasijibanze katika mwamvuli wa dini kufanya ya hovyo, tuache kuanzisha chokochoko za kiimani”


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.