• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel Luhahula akiwa na mwenyekiti wa Tume ya Madini Tanzania Prof. Idrisa Kikula wamefanya ziara ya kutembelea wachimbaji wadogo wadogo Nkonkilangi kata ya Shelui wilayani Iramba.

Posted on: October 17th, 2018

Profesa Idrisa Kikula Mwenyekiti wa Tume ya Madini Tanzania amefanya kikao katika Kijiji cha Nkonkilangi kata ya Ntwike Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba cha kuwaelimisha viongozi ngazi ya Wilaya hadi Kijiji na wachimbaji wadogo wadogo muundo wa Tume ya Madini, Majukumu yake na vitendea kazi vyake ambavyo ni :

1. Kuwataka wachimbaji wakati na wakubwa kuapa kufuata maadili ya kitanzania na kamwe hawataidanganya serikali ya Jamuhuri ya Tanzania na watafuata kadri sheria zanchi zinavotaka.

2. Serikali inawataka wachimbaji wakati na wakubwa kutumia watu na vituvinavyopatikana nchini kwetu.

3. Muungozo wa jinsi ya kuyalipia madini na namna ya kuyasafirisha

Aidha ametaja baadhi ya majukumu ya Tume ya Madini ambayo ni kusimamia sekta ya madini na kuahakikisha kwamba uchimbaji unafuata taratibu zake, kusimamia mapema utatuzi wa migogoro, kusimamia upatikanaji wa maduhuli ya serikali, kuishirikisha serikali kuanzia ngazi ya wilaya hadi Kijiji katika kuyatekeleza majukumu hayo, kusimamia unufaikaji wa jamii inayozunguka eneo la uchimbaji na ukusanyaji wa stahiki za serikali kwa kuweka takwimu sahihi.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Emanuel J. Luhahula amewaeleza viongozi wa wachimbaji wadogo wadogo wa Nkonkilangi kata ya Mtwike Tarafa ya Shelui wilayani Iramba, ambao hawajapata leseni wafuate utaratibu wa kupata leseni hizo, amewataka waunde vikundi vyao ili ushirika wao ukae vizuri, walipe mapato yao serikalini, pia amewaomba wadumishe amani, amani ibaki na iweze kupatikana maeneo hayo ya machimbo.





Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.