• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa wilaya ya Iramba Emmanuel Luhahula amefanya ziara ya kushitukiza kijiji cha Zinziligi Tarafa ya Ndago Wilayani Iramba. Picha na Hemedi Munga

Posted on: March 2nd, 2020

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amefanya ziara ya kushitukiza kukagua utekelezaji wa Mpango wa kuhamasisha Walengwa wa kuweka akiba na kuwekeza unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kijiji cha Zinziligi Tarafa ya Ndago Wilayani Iramba.

Mkuu wa Wilaya amefanya ziara hiyo leo Jumatatu Machi 2, 2020  kijiji cha Zinziligi Wilaya ya Iramba Mkoani Singida.

Akiwa katika kijiji  hicho, Luhahula amewaambia walengwa wanaonufaika na MfuKo wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kuwa kiasi ambacho watapewa baada ya kuunda vikundi vya ujasiriamali kuhakikisha wanakitumia vizuri kiasi hicho.

Halikadhalika amewahakikishia wakazi wa eneo hilo kuwa suala la maji litapata ufumbuzi muda mfupi ujao.

“Ndugu zangu ninapenda kuwahakikishia  kuwa mwezi wa tatu mwaka huu gari litakuja kuanza kuchimba visima kwa ajili yakupata maji,” amesema Luhahula

Naye Mkuu wa Kupambana na kuziwia rushwa (TAKUKURU) Wilayani Iramba, Ahmed Sungura amewaeleza wanufaika hao kuwa wanao wajibu mkubwa kuendeleza mapambano zidi ya rushwa.

“Ninaomba mtambue kuwa mapambano zidi ya rushwa sio ya TAKUKURU  peke yake ni ya jamii nzimani kwani rushwa inatugusa sote kama jamii,” amesema Sungura na kuongeza

“ Tuhakikishe jamii inasimamia vizuri miradi inayotolewa na serikali pamoja na kuilinda na kuisimamia.”

 Sungura ametumia ziara hiyo kutoa elimu ya rushwa na kuwataka wananchi hao kutoa taarifa TAKUKURU pindi wanapoona kuna miradi haiendi sawa na hakuna uwazi.

Amewataka wananchi hao kutofumbia macho rushwa kubwa zinazohusu viongozi wakubwa wenye mamlaka makubwa, rushwa ndogo zinazohusu viongozi wa chini na rushwa ya ngono.

“Mapambano zidi ya rushwa ni jukumu la kila mtu, tushirikiane kutokomeza rushwa,” amesisitiza Sungura

Kwa upande wake Mkufunzi wa mafunzo hayo, Anania Mbuta amesema mafunzo hayo yemelenga kuwawezesha wanufakia wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini(TASAF)  kuweza kuunda vikundi vya ujasiriamali vitakvyo wawezesha kuweka akiba na kuwekeza.

Mafunzo ya awali kwa vikundi vya kuweka akiba na kuwekeza yanaendelea katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Iramba.

MWISHO

Mkuu wa Kupambana na kuziwia rushwa (TAKUKURU)  wilayani Iramba, Ahmed Sungura akiwaeleza wanufaika wa  Mpango wa kuhamasisha Walengwa wa kuweka akiba na kuwekeza unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kijiji cha Zinziligi Tarafa ya Ndago Wilayani Iramba kuwa wanao wajibu mkubwa kuendeleza mapambano zidi ya rushwa. Picha na Hemedi Munga                     

Baadhi ya wanufaika wa  Mpango wa kuhamasisha Walengwa wa kuweka akiba na kuwekeza unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kijiji cha Zinziligi Tarafa ya Ndago Wilayani Iramba. Picha na Hemedi Munga

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.