• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amewaagiza Maafisa Tarafa na Maafisa Elimu Kata kuwakamata wazazi ambao hawajapeleka watoto shule.

Posted on: March 13th, 2020

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amewaagiza Maafisa Tarafa na Maafisa Elimu Kata kuwakamata wazazi ambao hawajapeleka watoto shule.

Agizo hilo amelitoa leo Ijumaa Machi 13, 2020 wakati akiongea katika kikao cha Baraza la Madiwani Ukumbi Mdogo wa Halmashauri hiyo mjini hapa.

“ Kamata wazazi ambao hawataki kupeleka watoto wao shule, tunataka Iramba yetu isonge mbele na haiwezi kusonga mbele kama watoto wetu hawapati elimu,” amesisitiza Luhahula

 

Pia amewataka Madiwani hao kuendelea kuhamasisha wananchi kutoka maeneo ya mabonde huku akiwapongeza kwa namna ambavyo wanavyosimamia miradi ya maendeleo.

“ Niwaombe tuendelee kuonesha uadilifu katika kusimamia miradi ya maendeleo na kukifanya kituo cha Afya Shelui kuwa kituo bora,” amesisitiza Luhahula

Halikadhalika amewataka Madiwani hao kuhamasisha kulima mazao yanayokabiliana na hali ya mvua inayoendelea kunyesha.

Akiongea katika kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Simion Tyosela amemuhakikishia Diwani wa Kata ya Shelui, Kinota Hamisi kuwa Halmashauri hiyo itakuwa pamoja katika ujenzi wa kituo cha Afya Shelui.

Tyosela amewataka Madiwani hao kuendesha kampeni ya kupinga mimba na utoro  kwa wanafunzi waliopo katika maeneo yao.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Linno Mwageni amewashukuru Madiwani hao kwa ushirikiano wao katika kujadili mambo mbalimbali ikiwemo ukusanyaji wa mapato kwa mustakabali wa maendeleo ya Wilaya ya Iramba.

Naye kaimu Afisa Ardhi na Maliasili wa Halmashauri hiyo, Lugano Sanga amewaomba Madiwani wa Baraza hilo kufahamu kuwa wataalamu wanapokwenda kupima mipaka ya maeneo mbalimbali hawampendelei yoyote bali wanafuata ramani.

MWISHO

kaimu Afisa Ardhi na Maliasili wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Lugano Sanga akifafanua mambo yanayohusu ardhi na mipaka yake wakati wa Baraza la Madiwani. Picha na Hemedi Munga


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA November 03, 2023
  • KUITWA KAZINI November 29, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wamefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani Iramba

    October 24, 2023
  • RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KISHINDO, WANANCHI WAMSHUKURU KWA MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea rasmi Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tabora na aliyekabidhi ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Batlida Briani.

    September 22, 2023
  • MKIMBIZA Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Abdalla Shaibu Kaim amewataka Watanzania kuhakikisha wanakemea vitendo vya rushwa kwa maelezo kuwa rushwa inakwamisha maendeleo ya Mkoa pamoja na Taifa kwa ujumla

    September 22, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.