• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amewaomba viongozi wa dini kuisaidia serikali kufikisha ujumbe wa chanjo ni kinga kwa pamoja tuwakinge. Picha na Hemedi Munga

Posted on: September 26th, 2019

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Mkuu wa wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amewaomba viongozi wa dini kuisaidia  serikali kufikisha ujumbe  wa chanjo ni kinga kwa pamoja tuwakinge.

Mkuu wa Wilaya, Luhahula ameyasema hayo katika kikao cha mafunzo ya kampeni ya chanjo ya surua, rubella na chanjo ya polio katika ukumbi wa Halmashauri leo septemba 26, 2019.

Akiongea na kamati  ya kampeni,  amewataka watendaji wote kwenda kuhamasisha na kuelimisha kampeni ya   kuwakinga na kupambana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo ya  ugonjwa wa surua, rubella na polio.

“Kinga ni bora kuliko tiba, nibora tukinge maana tunapokinga tunaandaa Taifa zuri katika wilaya ya Iramba na kujenga Taifa zuri tunalolipeleka kwenye uchumi wa kati na uchumi wa viwanda” Alisema Luhahula

Akiongea katika mafuzo hayo Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya  Iramba Mkoa wa Singida Tanzania,  Hussen Sepoko amesema kuwa lengo la kampeni ni kuwakinga na kupambana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo ya ugonjwa  wa surua, rubella na polio.

Mganga Mkuu, Sepoko amesema kuwa kampeni hii itafanyika nchi nzima katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya ya mama na mtoto na maeneo yote ya chanjo tembezi na chanjo mkoba.

Naye Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Iramba, Jackson Shillah amesema kuwa wajibu wa viongozi katika ngazi zote ni kuhakikisha , wanaelimisha na  wanahamasisha jamii ili kuwafikia watoto wote.

Akibainisha wakati wa mafunzo hayo kuwa wanatarajia kuchanja jumla ya watoto 37,261 kwa chanjo ya surua na  rubella huku watoto 20, 534 wakichanjwa chanjo ya sindano ya polio katika wailaya ya Iramba.

Shillah alieleza kuwa chanjo ya surua na rubella ni kwa ajili ya watoto wote wenye umri kuanzia miezi 9 hadi chini ya umri wa miaka 5.

Wakati chanjo ya polio ni watoto wote wenyekuanzia umri wa mwaka mmoja  na nusu hadi miaka mitatu na nusu.

 

Aidha amewataka viongozi kuelimisha jamii juu ya ubora na usalama wa chanjo kwa watoto na  kuelimisha juu ya  umri sahihi wa kupata chanjo ya surua, rubella na polio.


Huku akiwataka viongozi kukanusha upotoshaji na uvumi wa aina yeyote kuhusu chanjo hizi kwa kuwa chanjo hizi ni salama na hazina madhara yoyote.

Akichangia mada katika mafuzo hayo Makamu Askofu Jimbo la Singida Kaskazini, Robert Kijanga amewaomba wakuu wa idara wote wawe huru kufika katika maeneo ya ibada ili wawaelimishe  hata kama itakua ni upande wa mipango na miradi.                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                           

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Simion Tyosela akichangia mada wakati wa majadiliano katika mafunzo ya kampeni ya chanjo ya surua, rubella na polio. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba wakati kulia mwa Mwenyekiti ni Mganga Mkuu Hospitali ya Kiomboi Iramba, Hussen Sepoko. Picha na Hemedi Munga.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.