• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa wilaya ya iramba mh: Emmanuel Luhahula amefanya ziara ya kutembelea ujenzi na ukarabati wa kituo cha afya kijiji cha kyalusanga kata ya kinampanda.

Posted on: March 13th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mh: Emmanuel Luhahula amefanya ziara ya kutembelea ujenzi na Ukarabati wa Kituo cha Afya kijiji cha Kyalusanga Kata ya Kinampanda.

Katika Ziara hiyo, Mhe: Emmanuel Luhahula Amefanya Mkutano wa hadhara na Wananchi katika eneo la ujenzi wa Kituo cha Afya kilichopo Kijiji cha Kyalusanga. Aidha amewaomba wananchi wa kijiji cha Kyalusanga kuwa na ushirikiano na viongozi wa Kata na Vijiji kuunga Juhudi za Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye alichangia mifuko 600 za Saruji na Nondo 200 kwa ajili kufanikisha zoezi la Ujenzi na Ukarabati wa Kituo cha Afya ili wananchi waweze kupata huduma.

Vilevile Mkuu wa Wilaya ya Iramba Amewaomba Wananchi wa Kata ya Kinampanda Kuweka akiba ya Chakula kwa kuwa mazao mengi yameharibiwa na wadudu na sehemu zingine za Mbuga Mazao yalizama kwa sababu ya Mvua nyingi zilizonyesha pia Mazao mengine yameharibika kwa sababu ya Jua Kali. Kwahiyo hali ya chakula inaweza hisiwe rafiki kwa wananchi na Kuwashauri Wananchi kutuza Chakula cha Kutosha kwa ajili ya familia zao. Vilevile amewashauri   kulima Mazao ya Mihogo na Viazi.

 Aidha amesisitiza Jamii nzima ya Kata ya Kinampanda kuchangia Chakula kwa ajili ya Wanafunzi kupata chakula wakiwa mashuleni.

Wananchi wa Kata ya Kinampanda wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Iramba

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.