• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel J. Luhahula amekabidhiwa madawati mia moja (100) yenye thamani ya shilingi milioni kumi(10,000,000) kutoka kwa Bwana Nsolo M. Mlozi meneja kanda ya kati wa Benki ya NMB,

Posted on: October 23rd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel J. Luhahula amekabidhiwa madawati mia moja (100) yenye thamani ya shilingi milioni kumi(10,000,000) kutoka kwa Bwana Nsolo M. Mlozi meneja kanda ya kati wa Benki ya NMB, ambapo madawati hamsini (50) ni ya shule ya Sekondari Lulumba na madawati hamsini (50) ni ya shule ya Sekondari Tumaini. 

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Iramba ameyakabidhi Madawati hayo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mwl. Linno P.Mwageni kwa ajili ya kuyakabidhi katika shule ya sekondari Lulumba na Shule ya sekondari Tumaini.

Vilvile amemuwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba kuwa Mkandarasi yeyote anayeweza kufanya biashara ya kujenga ni lazima mojawapo ya kigezo kwenye tenda bodi  kiwe ni kufungua akaunti kwenye Benki ya NMB katika eneo letu  ili kuongeza mapato katika  Halmashauri yetu. 

Mhe. Luhahula ameshukuru sana Benki ya NMB kwa ushirikiano mkubwa  na kutoa michango mbalimbali. “Tunawashukuru kwa kuwa mpo karibu nasi, tunawapenda sana kwa kuwa tunapowahitaji mnakaribia na mkishirikishwa katika majanga mbalimbali mpo tayari kuchangia , sisi wazazini ni vizuri tukawafungulia watoto wetu akaunti za NMB, wanafunzi  wetu mpende kuwa na akaunti ili pesa kidogo mnayoiweka mle ni  kwa ajili ya kujiwekea Akiba, wananchi tujiunge na NMB, NMB ipo karibu yetu  itatusaidia na tiyari tumeona msaada huu,ninakuhakikishia madawati haya uliyoyatoa yatatumika vizuri na utaona ufaulu wa watoto wetu utaongezeka zaidi.” 

Ametoa tahadhari kwa watoto, wavulana na wanaume wanaochezea watoto wetu wa shule wakamatwe na kuchukuliwa hatua na nyinyi watoto wa kike endeleeni kujiheshimu, msidanganyike kwa sababu elimu ni msingi na ufunguo wa Maisha, hakuna atakayekusaidia urithi pekee unaoweza kukusaidia katika Maisha yako ni elimu. Amesema Luhahula.




Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mwl. LinnoMwageni baada ya kupokea madawati mia moja (100) yenye thamani ya shilingi milionikumi (10,000,000) toka kwa Mkuu wa Wilaya ya Iramba  Mhe, Emmanuel J. Luhahula yaliyotolewa na meneja wa NMB kanda ya kati Ndugu Nsolo M. Mlozi amemuagiza Afisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Bi Elizabeth J. Lussingu kukabidhi madawati hayo kwa mkuu wa shule ya Lulumba sekondari madawati hamsini (50) na mkuu wa shule ya Tumaini Sekondari Madawati hamsini (50). Amewasisitiza kuyatunza madawati hayo na yawe ni chanzo cha kuongeza ufaulu kwa wanafunzi.


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.