• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

MKUU WA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA MH. EMMANUEL LUHAHULA NA AFISA KILIMO WA WILAYA BI MALYETHA KASONGO WAKIKAGUA ZAO LA PAMBA.

Posted on: January 19th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mh. Emmanuel Luhahula pamaoja na Afisa Kilimo wa Wilaya Bi Malyetha Kasongo na Viongozi wengine Kutoka Ngazi ya Wilaya wamefanya ziara ya siku Tatu ya kukagua Kilimo cha Mashamba ya Pamba Kata ya Mtekente Tarafa ya Ndago, Kata ya Mtoa, Kata ya Shelui, Kata ya Mgongo na Kata ya Ntwike Tarafa ya Shelui Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

Wamekagua Shamba la Shule ya Msingi Kisonga Hekari 4, Shamba la Shule ya Msingi Mtekente Hekari 6, Shamba la Bwana Nasoro Nafutari Hekari 2, Shamba la Mwenyekiti wa Kijiji Bwana Ramadhani Panda Hekari 5 Kata ya Mtekente Tarafa ya Ndago.

Pia wamekagua Kilimo cha Mashamba ya Pamba Kata ya Mtoa Tarafa ya Shelui ambapo Kijiji cha Msai kina Jumla ya wakulima wa Mashamba ya Pamba 700 wenye Hekari 9100 zilizolimwa Pamba.

Vile vile Wamekagua Kilimo cha shamba la Bwana Bakari Hamis Hekari 9, Shamba la Mwalimu Hekari 4, Shamba la Abdalla Jumanne Hekari 11/2, Shamba la Bwana Ramadhani Selemani Hekari 71/2, Shamba la Shule ya Msingi Mtoa Hekari 21/2, Shamba la Kikundi cha Muongozo Hekari 11/2 na Shamba la Kikundi Kilichopo Ikungi Hekari 4.

Katika Ziara hiyo, wamekagua Kilimo cha Pamba kwenye Shule ya Msingi Mapinduzi Hekari 4, Shule ya Sekondari Ntwike Hekari 4 , Shule ya Sekondari Shelui Hekari 21/2

Vilevile wamekagua Shamba la Bwana Donald Kiduja Hekari 6, Shamba la Bwana Ezekiel Shuka Hekari 4, Kata ya Ntwike Tarafa ya Shelui.

Pia Wamekagua Shamba la Bwana Edward Kingu Hekari 1, Shamba la Bwana Rashid Juma Hekari 2, Shamba la Bwana Nicholas Makoye Katibu Tarafa Shelui Hekari 2, Shamba la Anfrey Mkumbo Mwenyekiti wa Kijiji Mgongo Hekari 4 na Shamba la Peter Shimo Hekari 2 Kata ya Mgogo Tarafa ya Shelui.

Pia Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mh.Emmanuel Luhahula ametoa maelekezo kwa Wakulima wote Katika Tarafa zote Kuchukua Pembejeo zinazotolewa bure Mahali zilipo za Kuuwa Vidudu ili waanze kupuliza Mashamba yao Mapema, Pia amewaomba wananchi waliolima Pamba kusaidiana Mabomba yaliyopo ya kunyunyizia dawa kwa sasa wakati serikali ikitafuta ufumbuzi wa Mabomba mengine.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.