• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe. Emmanuel Luhahula amekabidhi pikipiki zipatazo 20 kwa Mafisa Elimu Kata Wilayani Iramba

Posted on: September 14th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe. Emmanuel Luhahula, amekabidhi pikipiki zipatazo 20 kwa Mafisa Elimu Kata Wilayani hapa, katika hafla fupi ya kukabidhi pikipiki kwa Maafisa Elimu Kata, iliyofanyika Ukumbi mdogo wa mikutano wa Halmashauri.

Hafla hiyo iliweza kuhudhuliwa na viongozi mbali mbali wa ndani ya Halmashauri huku Maafisa Elimu Kata hao kila mmoja akikabidhiwa pikipiki moja kama sehemu yak itendea kazi katika eneo lake. 

Pikipiki hizo zimetolewa na serikali kupitia program ya uwezo wa kukuza stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu (LANES), zikigharimu jumla ya Tshs. 59,980,000/= bila vati,

Mhe. Luhahula amewaomba viongozi hao kuwa waadilifu na wa mfano wa kuigwa katika matumizi stahiki ya vyombo hivyo alivyokabidhi, na kuwaasa vyombo hivyo vikapate kuwa chachu ya mafanikio katika utendaji na utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ya kazi.

Amewataka kuvitumia vyombo hivyo kwa tija na kuhakikisha kwamba wanapata mafanikio ya kuboresha Elimu kwa faida ya Umma na si kujitokeza kwa tuhuma za vyombo hivyo kubadilishwa matumizi na kuanza kutumika katika shughuli binafsi na za kibiashara kama vile bodaboda.

Mhe.Luhahula amewapongeza Maafisa Elimu Kata Wilaya ya Iramba, kwa kasi na hatua ya mafanikio wanayokwenda nayo sasa katika kukuza kiwango cha Elimu kwa ongozeko la ufaulu wa daraja la juu huku akichukulia mfano wa matokeo ya mock yaliyotokana Wilaya ya Iramba kuongoza Kimkoa kwa kuwa na wastani wa daraja ‘A’ Asilimia88%.

“Kasi yenu nimeipenda sana, mmenifurahisha na kuukonga moyo wangu. Ninyi mnaweza kuwa chachu kwa viongozi wenzenu ngazi ya Kata mfano maafisa kilimo na watendaji wa Kata kwa sababu miaka yote tangu tunakua, mwalimu ni jeshi anasifa yake ya pekee ya kusikilizwa na kuheshimiwa na kila mtu.” Alisema.

Amewataka kuchochea kasi hiyo ya mafanikio kwa kudumisha ushirikiano na viongozi wa chini pamoja na walimu wao ilikuhakikisha Wilaya ya Iramba inasonga mbele daima.

Aidha maafisa elimu kata hao waliweza kupewa mkataba utakao saidia ufuatiliaji na usimamizi wa utunzaji wa vifaa hivyo ambavyo lengo na madhumuni yake ni kuondoa changamoto zinazokwamisha zoezi la ufuatiliaji wa taaaluma kwa shule zilizopo mazingira ya mbali na kurahisisha usafiri wa maafisa elimu kata katika kazi zao.




Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.