• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe. Emmanuel Luhahula amekabidhi pikipiki zipatazo 20 kwa Mafisa Elimu Kata Wilayani Iramba

Posted on: September 14th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe. Emmanuel Luhahula, amekabidhi pikipiki zipatazo 20 kwa Mafisa Elimu Kata Wilayani hapa, katika hafla fupi ya kukabidhi pikipiki kwa Maafisa Elimu Kata, iliyofanyika Ukumbi mdogo wa mikutano wa Halmashauri.

Hafla hiyo iliweza kuhudhuliwa na viongozi mbali mbali wa ndani ya Halmashauri huku Maafisa Elimu Kata hao kila mmoja akikabidhiwa pikipiki moja kama sehemu yak itendea kazi katika eneo lake. 

Pikipiki hizo zimetolewa na serikali kupitia program ya uwezo wa kukuza stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu (LANES), zikigharimu jumla ya Tshs. 59,980,000/= bila vati,

Mhe. Luhahula amewaomba viongozi hao kuwa waadilifu na wa mfano wa kuigwa katika matumizi stahiki ya vyombo hivyo alivyokabidhi, na kuwaasa vyombo hivyo vikapate kuwa chachu ya mafanikio katika utendaji na utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ya kazi.

Amewataka kuvitumia vyombo hivyo kwa tija na kuhakikisha kwamba wanapata mafanikio ya kuboresha Elimu kwa faida ya Umma na si kujitokeza kwa tuhuma za vyombo hivyo kubadilishwa matumizi na kuanza kutumika katika shughuli binafsi na za kibiashara kama vile bodaboda.

Mhe.Luhahula amewapongeza Maafisa Elimu Kata Wilaya ya Iramba, kwa kasi na hatua ya mafanikio wanayokwenda nayo sasa katika kukuza kiwango cha Elimu kwa ongozeko la ufaulu wa daraja la juu huku akichukulia mfano wa matokeo ya mock yaliyotokana Wilaya ya Iramba kuongoza Kimkoa kwa kuwa na wastani wa daraja ‘A’ Asilimia88%.

“Kasi yenu nimeipenda sana, mmenifurahisha na kuukonga moyo wangu. Ninyi mnaweza kuwa chachu kwa viongozi wenzenu ngazi ya Kata mfano maafisa kilimo na watendaji wa Kata kwa sababu miaka yote tangu tunakua, mwalimu ni jeshi anasifa yake ya pekee ya kusikilizwa na kuheshimiwa na kila mtu.” Alisema.

Amewataka kuchochea kasi hiyo ya mafanikio kwa kudumisha ushirikiano na viongozi wa chini pamoja na walimu wao ilikuhakikisha Wilaya ya Iramba inasonga mbele daima.

Aidha maafisa elimu kata hao waliweza kupewa mkataba utakao saidia ufuatiliaji na usimamizi wa utunzaji wa vifaa hivyo ambavyo lengo na madhumuni yake ni kuondoa changamoto zinazokwamisha zoezi la ufuatiliaji wa taaaluma kwa shule zilizopo mazingira ya mbali na kurahisisha usafiri wa maafisa elimu kata katika kazi zao.




Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.