• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mwenge wa Uhuru

Posted on: July 5th, 2017

    Mwenge wa Uhuru wilaya ya Iramba ulikimbizwa takribani umbali wa kilomita 150 kuanzia Kataa ya Kaselya hadi  kata Kiomboi ambapo ni Makao makuu ya Wilaya  ya Iramba, 

mahali ambapo  Mwenge ulikesha.

Katika kata ya Kaselya 

Ratiba ya Mwenge wa Uhuru wilaya ya Iramba

MAHALI
UMBALI
MUDA
TUKIO
MUHUSIKA
Kaselya
0
11.30-12.00 
Kamati ya uratibu kuwasili
Mkuu wa Wilaya
Kaselya
12.00-1.30
Wananchi kukusanyika
Mkuu wa Wilaya
Kaselya
1.30-2.00
Viongozi wa wilaya kuwasili
-Mkuu wa Wilaya
-Viongozi wa Wilaya ya Iramba
Kaselya
2.00-2.30
Makabidhiano ya mwenge wa uhuru
Wakuu wa Wilaya ya Singida na Iramba
Kaselya
0.05
2.30-2.35
Mwenge wa uhuru kuelekea nyumba bora ya mwananchi
Mkuu wa Wilaya
Kaselya
 00
2.35-2.45
Kufungua nyumba bora ya mwananchi
Kiongozi wa Mbio za Mwenge
Mbelekese
 9.8
2.45-3.00
Mwenge wa uhuru kuelekea kijiji cha mbelekese
Mkuu wa Wilaya
Mbelekese
 00
3.00-3.10
Mwenge wa uhuru kuzindua kikundi cha akina mama (Upendo group)
Kiongozi wa Mbio za Mwenge
Ushora
 20
3.10-3.35
Mwenge wa uhuru kuelekea ushora
Mkuu wa Wilaya
Ushora
 00
3.35-3.45
Mwenge wa uhuru kuweka jiwe la msingi zahanati ya ushora
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
Ushora
0.3
3.45-4.45
Ujumbe wa mwenge
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
Ushora

4:45-5:30
Chai
Mkuu wa Wilaya
Ujungu
 8.3
5:30-.5:40 
Mwenge wa uhuru kuelekea kijiji cha ujungu.
Mkuuwa Wilaya
Ujungu
 00
 
5:40-5:50
ZAHANATI YA UJUNGU
  • Ugawaji wa vyeti kwa walimu waliopewa mafunzo ya mapambano  dhidiya malaria   Ugawaji wa kadi za CHF     Kwa wazeeUgawaji wa kadi  za CHF kwa WAVIU
  • Ugawaji wa vyandarua kwa akina mama wajawazito na watoto wachanga.
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU.
Mtoa
25
5:50-6:10
MWENGE WA UHURU KUELEKEA MTO MTOA 
MKUU WA WILAYA
Mtoa
 00
6:10-6:20
Kuweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la mto na makaravati.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru
Nselembwe -shelui
 13
6:20-6:40
Mwenge wa uhuru kuelekea kijiji cha nselembwe –shelui
Mkuu wa Wilaya
Nselembwe -shelui
 00
6:40-6:50 
Kufungua ghala la kuhifadhi mazao ya chakula na biashara
Kiongozi wa Mbio za Mwenge
Nselembwe -shelui
 00
6:50-7:10
Ujumbe wa mwenge
Kiongozi wa Mbio za Mwenge
Nselembwe -shelui
.2
7:10-8:10 
Chakula
Mkuu wa Wilaya
Salala
.37
8:10-:8:40 
Mwenge wa uhuru kuelekea kiji cha old kiomboi (salala).
Mkuu wa Wilaya
Salala
 00
8:00:40-8:50 
Kuweka jiwe la msingi kiwanda cha kusindika mboga mboga-salala
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
Sekondari ya new kiomboi

8:50-9:00 
Mwenge wa uhuru kuelekea sekondari ya new kiomboi
Mkuu wa Wilaya
 Sekondari ya new Kiomboi
 4
9:00-9:10 
Kuzindua nyumba za walimu (6 in 1)
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru
Stendi ya mabasi
 3
9:10-9:20 
Mwenge wa uhuru kuelekea viwanja vya mkesha (stendi ya mabasi)
Mkuu wa Wilaya
Stendi ya mabasi
 00
9:20-9:50 
  • Kuzindua kikundi cha vijana wajasiriamali wa bodaboda
  • Kugawa vyeti kwa vija wa bodaboda waliohudhuria mafunzo ya mapambano dhidi ya rushwa.
  • Kugawa zawadi kwa washindi wa mpira wa miguu walioshiriki ligi ya mapambano dhidi ya madawa ya kulevya.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge
Stendi ya mabasi

9:50-10:50 
Risala ya utii
Mkuu wa Wilaya
Stendi ya mabasi

10:50-11:00 
Ujumbe wa Mwenge wa Uhuru 2017
Kiongozi wa Mbio za  Mwenge wa Uhuru
Stendi ya mabasi kiomboi

11:00-2:00 
Mkesha na burudani mbalimbali
Mkuu wa Wilaya
Kiomboi

2:00-3:00 
Chakula cha mchana
Mkuu wa Wilaya
Stendi ya mabasi kiomboi

 
Mkesha wa mwenge
Mkuu wa Wilaya

00
12.00-1.00 
CHAI
MKUU WA WILAYA
Kuelekea kijiji cha Tumuli
 60
1:00-3:00 
Makabidhiano ya mwenge wa uhuru wilaya ya iramba na mkalama.
Mkuu wa Wilaya
Tumuli
0
 3:00-3:30 
Mkuu wa wilaya iramba na mkuu wa wilaya mkalama
Kiongozi wa Mbio za Mwenge

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA November 03, 2023
  • KUITWA KAZINI November 29, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wamefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani Iramba

    October 24, 2023
  • RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KISHINDO, WANANCHI WAMSHUKURU KWA MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea rasmi Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tabora na aliyekabidhi ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Batlida Briani.

    September 22, 2023
  • MKIMBIZA Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Abdalla Shaibu Kaim amewataka Watanzania kuhakikisha wanakemea vitendo vya rushwa kwa maelezo kuwa rushwa inakwamisha maendeleo ya Mkoa pamoja na Taifa kwa ujumla

    September 22, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.