• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

MWENGE WA UHURU WAKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UKARABATI SHULE YA MSINGI LUONO – IRAMBA

Posted on: July 21st, 2025

MWENGE WA UHURU WAKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UKARABATI SHULE YA MSINGI LUONO – IRAMBA


Mwenge wa Uhuru umetembelea na kukagua shughuli za ukarabati katika Shule ya msingi Luono iliyopo wilayani Iramba. Ukarabati huo umegharimu jumla ya Shilingi 65,000,000 zilizotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba. Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na ukarabati wa vyumba 6 vya madarasa, ukamilishaji wa maboma 2 ya madarasa ya muda mrefu, ukarabati wa ofisi 2 za walimu, pamoja na uwekaji wa samani mpya (madawati na meza).


Akizungumza wakati wa ukaguzi wa mradi huo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ndugu lsmail Ali Ussi, Julai 20, 2025 amepongeza mradi huo.


Mradi huu umesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza msongamano wa wanafunzi kwenye vyumba vya madarasa, hali ambayo ilikuwa changamoto kubwa kwa shule hiyo. Kwa kuboresha miundombinu ya kufundishia na kujifunzia, mazingira ya shule yamekuwa rafiki zaidi kwa walimu na wanafunzi, jambo linalotarajiwa kuongeza ufanisi wa utoaji wa elimu na kiwango cha ufaulu.



Wanufaika wakuu wa mradi huu ni wanafunzi wa shule ya Msingi Luono, walimu, pamoja na jamii kwa ujumla. Mradi huu unaakisi juhudi za serikali na wananchi katika kuinua kiwango cha elimu kupitia uwekezaji katika miundombinu bora. Ukarabati huo utachagiza kuendelea kutoa elimu bora katika mazingira salama, tulivu, na yanayovutia zaidi kwa maendeleo ya kitaaluma.




Tangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI NA KUPOKEA TAARIFA YA CAG MWAKA WA FEDHA 2023/2024 TAREHE 18, JUNI 2025 June 16, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • KIKAO CHA KAMATI YA LISHE NGAZI YA HALMASHAURI KWA KIPINDI CHA ROBO YA NNE YA MWEZI APRILI HADI JUNI 2025 CHAFANYIKA

    July 29, 2025
  • MRADI WA SEQUIP WAJENGA SHULE 6 MPYA IRAMBA - DC MWENDA

    July 28, 2025
  • DC MWENDA AIPONGEZA TBC KWA KAMPENI YA 27 YA KIJANI WILAYANI IRAMBA

    July 27, 2025
  • DC MWENDA AWASHUKURU WANANCHI KWA KUFANIKISHA UJIO WA MWENGE WA UHURU 2025 WILAYANI IRAMBA

    July 22, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.