• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mwenyekiti wa Halmashauri, Innocent Msengi ameongoza kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Posted on: April 28th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri, Innocent Msengi ameongoza kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Akiongea katika Baraza hilo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Innocent Msengi aliwataka Madiwani kwa kushirikiana na Wakuu wa Idara na Vitengo kusimamia ukusanyaji wa mapato.

 

Mkuu wa wilaya ya Iramba Mhe: Suleiman Mwenda amewata madiwani kusimamia miradi ya Maendeleo,iliyopo kwenye kata zao Ili Kuhakikisha Fedha zilizotolewa na Serikali zinatumika kama ilivyokusudiwa.

Akiongea katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba DC Mwenda amesema kuwa katika Wilaya zilizo ibua miradi mingi,ni pamoja na Wilaya ya Iramba,kwani imeweza kupata Fedha nyingi hasa katika idara ya Afya ambayo imepata Fedha za  miradi zaidi ya Bilioni 5 kwa ajili ya Ujenzi wa Miundombinu yake.

Aidha DC Mwenda amesema kuwa katika idara ya Elimu Msingi imepata Fedha nyingi zaidi ya Bilioni 1.5, Huku katika sekta hiyo zimekuja zaidi ya Tsh. Bilioni 5 kwa ajili ya Ujenzi wa Chuo Cha VETA kinachojengwa eneo la Salala Old Kiomboi katika Wilaya ya Iramba.Amesema Fedha za Elimu ni kwa ajili ya kujenga Madarasa,Nyumba za Walimu pamoja na vyoo vya wanafunzi Shuleni.

Waheshimiwa madiwani wakiwa katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Waheshimiwa madiwani wakiwa katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Waheshimiwa madiwani wakiwa katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Waheshimiwa madiwani wakiwa katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Waheshimiwa madiwani wakiwa katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Wakuu wa idara na vitengo wakiwa katika kikao Cha baraza la Madiwani ya Robo ya tatu katika Halmashauri ya Iramba

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.