• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba, Simion Tiyosera amewataka Madiwani kukemea swala la mimba za watoto wa shule katika maeneo yao . Picha na Hemedi Munga

Posted on: December 17th, 2019

By Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba, Simion Tiyosera amewataka madiwani kukemea  swala la mimba za watoto wa shule katika maeno yao.

Tiyosera ameyasema hayo leo Jumanne Desemba 17, 2019 wakati akifunga kikao cha baraza la madiwani katika ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya hiyo.

Aidha Mwenyekiti huyo amewakumbusha Madiwani kupanda miti katika maeneo yao ikiwa ni hatuwa yakutimiza maazimio ya kikao cha bazara lililopita.

Baraza la Madiwani lilianza kwa maswali 9 ya papo kwa papo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo .

Akijibu moja ya swali lililo ulizwa na Diwani wa kata ya Ndulungu, Myonga Myonga  aliyetaka kujuwa suala la redio RIKI, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, linno Mwageni amesema kulikuwa na mchakato wakuwa na vifaa vya kawaida na kuanza kujenga jengo ambapo haikuweza kusajiliwa.

“Tunaendelea kutenga kwenye bajeti kuomba fungu kupata vifaa vya kisasa na kuweza kuisajili,” aliongeza Mwageni

Hata hivyo jitihada zinaendelea kuwasiliana na wadau mbalimbali na kuandika maandiko mradi kwa ajili ya kuyauza kwa wadau  ili watuunge mkono kwa ajili ya kuianzisha na kuimarisha redio. Alisema

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amewaomba Madiwani kusimamia watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza na uandikishaji wa  darasa la kwanza na darasa la awali wanakwenda shule.

Pia Mkuu huyo amewasisitiza Madiwani kusimamia mapato ya serikali ili halmashauri iendelee kusimama.

“ Niombe sana yale ambayo tunaendelea kusimamia hasa kwenye mapato ya serikali tusimamie ipasavyo,” Alisisitiza Luhahula

Akiongea katika Baraza hilo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iramba,Samwel Joel  ameomba ushirikiano uliopo uendelee kwa ajili ya maendeleo ya Iramba.

Joel  amewaagiza Madiwani kulichukulia umakini swala la elimu na kutatua tatizo la  matokeo ya shule za msingi  wilayani humo.

 

“Iramba sio ya watoto wajinga haiwezekani ” Alisisitiza Joel

Mwenyekiti huyo amewaomba Madiwani waendelee kushirikiana kuisimamia Halmashauri na kuyapeleka mambo vizuri huku akiwataka wachukue hatuwa pale wanapoona mambo hayaendi vizuri.

Naye Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amewaomba Madiwani pamoja nakuwa  na vikao vya itifaki ni vizuri kuwa na  vikao kwa ajili ya kutathimini  mwenendo wa Halmashuri huku akiwataka kujenga utamaduni wa kujuwa matatizo na kutafuta ufumbuzi wa matatizo hayo wao wenyewe.                                                                                                                                                                                                                                                                        

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba akijibu swali mlele ya Baraza la Madiwani lililofanyika leo katika ukumbi mdogo wa Halmashauri hiyo. Picha na Hemedi Munga                                                                                        

Mkuu wa Wilaya ya Iramba , Emmanuel Luhahula akiwakumbusha Madiwani kusimamia mapato ya serikali katika maeneo yao. Picha na Hemedi Munga                                                                                                                                            

Mbunge wa Iramba Magharibi akiwakumbusha Madiwani kufanya tathimini ya kuendesha Halmashauri. Picha na Hemedi Munga                                                                                                                                                                                     Madiwani wakifuatilia Bazara  katika ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba. Picha na Hemedi Munga.


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.