• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Naibu waziri mhandisi stella manyanya atembelea Kiwanda cha Kusindika mbegu za alizeti cha M/S Yaza Investment Co. Ltd Wilayani Iramba Mkoa wa Singida.

Posted on: September 15th, 2018

Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya, amefanya ziara ya kutembelea Kiwanda cha M/S Yaza investment Co. Ltd kilichopo Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

Katika ziara hiyo Naibu waziri amepokea taarifa ya Kiwanda cha M/S Yaza investment Co. Ltd ambacho  kinauwezo wa Kusindika mbegu za alizeti kiasi cha tani 10 kwa siku, kuzalisha Mafuta tani 25 kwa siku, kuzalisha mashudu tani 75 kwa siku na kinasambaza sokoni tani 8,000 za Mafuta ya kula kwa mwaka na kutengeneza mashudu ya alizeti(sunflowers cake) kiasi cha Tani 14,000 kwa mwaka. Kiwanda kimeajiri  wafanyakazi 50 wenye mikataba ya kudumu na wafanyakazi 110 ajira zisizokuwa za moja kwa moja. 

Mkurugenzi wa Kiwanda cha M/S Yaza investment Co Ltd. Ndg. Yusuph Amiri Nalompa amempongeza Naibu waziri na serikali ya awamu ya tano ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya Mhe, Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri na hatua sahihi za kuhakikisha Taifa la Tanzania linakuwa Taifa la viwanda.

Ndg. Nalompa alimueleza Naibu waziri changamoto mbalimbali za Kiwanda ikiwepo hali ya ushindani katika masoko, Riba kubwa katika mikopo inayotozwa na taasisi za fedha na upungufu wa Upatikanaji wa malighafi.

Mwandisi Manyanya amempongeza mkurugenzi wa Kiwanda cha M/S Yaza investment Co Ltd na manajimenti ya Kiwanda hicho kwa kutengeneza ajira kwa wananchi wa Iramba na amewahakikishia kutatua changamoto zinazokabili Kiwanda hicho.


Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel Luhahula wakitembelea Kiwanda cha M/S Yaza investmentCo. Ltd kilichopo Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

 

Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya akitoa maelekezo kwenye ziara ya kutembelea Kiwanda cha M/S Yaza investment Co. Ltd kilichopoKata ya Ndago Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

 

Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya akiongea na wananchi wa Wilaya ya Iramba kwenye ziara ya kutembelea Kiwanda cha M/S Yaza investment Co. Ltd kilichopo Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

 

Jengo la Kiwanda cha M/S Yaza investment Co. Ltd kilichopo Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba Mkoa waSingida.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.