• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KISHINDO, WANANCHI WAMSHUKURU KWA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: October 17th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amemshukuru Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za miradi yamaendeleo mkoani humo na ameahidi ataendelea kusimamia miradi, sambamba naukusanyaji wa mapato katika Halmashauri zote saba za Mkoa huo kwa nia yakutekeleza maono ya Rais ya utekelezaji miradi ya maendeleo kwa wananchi.

Serukamba akizungumza leo (tarehe17 Oktoba, 2023) Wilayani Iramba wakati wa salamu kwa Rais Dkt. Samia SuluhuHassan ikiwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi aliyoifanya kwa sikutatu Mkoani humo kwa ajili ya kukagua miradi, kuizindua na kuweka jiwe lamsingi kwenye miradi ya maendeleo.

Aidha, Serukamba amemuhakikishiaRais Dkt. Samia, kwamba kutokana na mambo mazuri yaliyofanywa kwa kipindi chamiaka miwili hususan katika sekta ya afya, kilimo, maji, nishati na nyingine nihakika wanasingida watalipa deni hilo kwa kuhakikisha wanamchagua kwa kishindokatika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mkuu wa Mkoa huyo amesema kuwatangu Tanganyika ipate uhuru Rais Dkt. Samia amefanya maendeleo makubwa kwawananchi nchi nzima hususan katika Mkoa wa Singida.

Akizungumzia Wilaya ya Irambaamesema kuwa Iramba ina vijiji 70 lakini kila kijiji kina mradi mkubwa wamaendeleo jambo ambalo Rais amafanya mambo yake kwa vitendo kwa manufaa yawananchi wake.

Akizungumza kwenye hitimisho yaziara hiyo, Serukamba amesema wananchi sio kwamba wanampenda Rais Dkt. Samiakwa kuwa anatoka katika Chama Cha Mapinduzi bali anapendwa kutokana na utendajiwake bora wa kazi ambao unaonekana na wenye kugusa maisha ya watu.

Amesema kutokana na hali hiyowananchi wa Singida wana deni kwa Rais Samia na deni hilo litalipwa kwa awamumbili ambapo ni katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na deni linginelitalipwa kwa fidia mwaka 2025 kwa kuongoza kupiga kura nyingi kwa Rais, Mbungena Diwani wanaotoka katika Chama Cha Mapinduzi.

Tangi kubwa lenye ujazo wa lita 300,000 likiwa limejengwa katika Kijiji cha Kizonzo kama sehemu ya mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Mji wa Shelui tarehe 17 Oktoba, 2023

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.