Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego ameongoza ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilayani Iramba, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kufika Julai 21, 2025.
Ziara hiyo ya siku moja, Julai 11, 2025 ilihusisha Kamati ya Usalama ya Mkoa & Wilaya, viongozi wa Halmashauri, TARURA, na RUWASA, kwa lengo la kuhakikisha miradi inakamilika kwa ubora na wakati.

KIOMBOI, IRAMBA
Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA
Telephone: 026 - 2532253
Mobile: 026 - 2533001
Email: ded.irambadc@singida.go.tz
Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.