• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA ELIMU YA WATU WAZIMA SINGIDA

Posted on: September 1st, 2025

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA ELIMU YA WATU WAZIMA SINGIDA


Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Suleiman Mwenda, akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego, amesema serikali inaendelea kuwekeza katika miundombinu na kuajiri walimu wa kutosha ili kuongeza upatikanaji wa elimu inayofanana na mazingira ya sasa.


“Serikali yetu imeendelea kuwekeza kwa sehemu kubwa sana katika ujenzi wa miundo mbinu ya kielimu, kuajiri walimu, kununua vitendea kazi kwaajili ya walimu na kuhakikisha kwamba inatengeneza mazingira bora kwa vijana kujifunzia...si tu kwamba mtu atapewa elimu ya namna ya kushona, bali atapewa pia elimu ambayo inamueleza kwamba anatumiaje teknolojia kutafuta soko, kujiunga katika makundi mbalimbali ya uwezeshaji ambayo serikali inatoa….” Alisema DC Mwenda


Pia, alisistiza umuhimu wa elimu ya watu wazima akisema, “Elimu ya Watu Wazima ni sehemu ya stadi za maisha, inamuwezesha mtu kujua mazingira ya sasa tuliyonayo na inalenga kumkomboa mwanadamu katika nyanja zote za kimaisha.”


Kwa upande wake Afisa Elimu ya Watu Wazima mkoa wa Singida, Sara Mkumbo, alisema Singida ni miongoni mwa mikoa sita iliyopata ufadhili wa Mradi wa Elimu Changamani kwa Vijana walio nje ya shule (IPOSA) kwa mwaka 2024/2025, ambao unatekelezwa katika wilaya za Iramba, Itigi, Manyoni na Mkalama na unatarajiwa kunufaisha vijana 360 wenye umri kuanzia miaka 14 na kuendelea watakaopewa mafunzo mbalimbali ili waweze kujikwamua kiuchumi.


Katika maadhimisho hayo yaliyofanyika Septemba 1, 2025 Kiomboi - Iramba halmashauri za Mkoa wa Singida ziliagizwa kutenga bajeti kila mwaka kupitia mapato ya ndani ili kuimarisha elimu ya watu wazima, elimu nje ya mfumo rasmi na elimu maalum.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO (WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA) October 23, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA URUGHU

    September 20, 2025
  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA MTEKENTE

    September 20, 2025
  • SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 19, 2025
  • SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.