• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

SHULE YA SEKONDARI LULUMBA MSHINDI WA 3 MASHINDANO YA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA

Posted on: September 26th, 2025

SHULE YA SEKONDARI LULUMBA MSHINDI WA 3 MASHINDANO YA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA


Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Suleiman Yusuph Mwenda, ameipongeza Shule ya Sekondari Lulumba kwa kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya Young Scientist Tanzania (YST) yaliyofanyika Septemba 18, 2025, katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mashindano hayo yalikutanisha shule 45 kutoka maeneo mbalimbali nchini, ambapo nafasi ya kwanza ilichukuliwa na Tabora Boys, nafasi ya pili St. Joseph Cathedral, huku Shule ya Sekondari Lulumba ikishika nafasi ya tatu kitaifa.


Akizungumza wakati wa kukabidhiwa kombe hilo Septemba 26, 2025, DC Mwenda alisema "matokeo hayo ni fahari kubwa kwa wilaya na uthibitisho wa juhudi endelevu za Shule ya Lulumba katika taaluma." Aliongeza kuwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitano shule hiyo imeendelea kuongoza katika matokeo ya kitaaluma kuanzia ngazi ya wilaya, mkoa, kanda hadi taifa. Aidha, aliahidi kutoa zawadi kwa wanafunzi wawili ambao ni Elisha Amos Lugomela (kidato cha 3 PCM) na Onesmo Filbert Mhonzu waliowakilisha shule kwa usimamizi wa mwalimu Joshua Mahindoni, ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wao.


Kwa upande wake, mwanafunzi Onesmo Mhonzu (Kidato cha Sita, PCB) aliishukuru shule na viongozi waliowawezesha kushiriki, akibainisha kuwa uzoefu walioupata utawasaidia kuongeza ujuzi wa kisayansi na maandalizi ya kazi za baadaye.


Shule ya Sekondari Lulumba ilishiriki kupitia kundi la AGRICULTURAL SCIENCE kwa mada "URBAN-BEES ECOLOGICAL AND GENETIC IMPACTS ON POLLINATOR POPULATION,” ambayo iliiwezesha kushinda Kombe, medali ya dhahabu na cheti cha ushindi kwa wanafunzi na shule pamoja na zawadi ya fedha taslimu.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO (WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA) October 23, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • HERI YA SIKU YA KIMATAIFA YA WAZEE

    October 01, 2025
  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA MBELEKESE

    September 30, 2025
  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA NDAGO

    September 29, 2025
  • SHULE YA SEKONDARI LULUMBA MSHINDI WA 3 MASHINDANO YA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA

    September 26, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.