• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

TAKUKURU IRAMBA YATOA SEMINA KUHUSU ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 KWA MAKUNDI YA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

Posted on: January 27th, 2025

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani Iramba imetoa Semina ya Siku Moja kuhusu Elimu ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, Kwa Makundi ya Watu wenye Mahitaji Maalumu


Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025 Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU) Iramba imetoa semina ya Elimu ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa Makundi yenye mahitaji maalumu.


Mafunzo hayo yaliyo andaliwa na TAKUKURU Wilaya ya Iramba yametolewa Januari 27, 2025 katika Ukumbi mkubwa wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba na kuwashirikisha baadhi ya wawakilishi kutoka Chama Cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS) ,Chama Cha Watu Wasiiona (TLB), Chama Cha Walemavu wa Viungo ( CHAWATA ), Chama Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA)


Akizungumza katika kuhitimisha mafunzo hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba Bi. Bupe Mwakibete amewataka wawakilishi hao kutoka vyama vya Watu wenye Mahitaji Maalumu kuendelea kutoa Elimu kwa wenzao juu ya mapambano dhidi ya Rushwa ni jukumu la Kila mtu hivyo kutoa ushirikiano pindi wataksoohitajika kufanya hivyo.


"Jukumu la Mapambano ya Rushwa ni letu sote,tuhakikishe tunakuwa mstari wa mbele dhidi ya mapambano haya kuelekea kipindi hiki Cha Uchaguzi. " Amesema DAS Bupe Mwakibete.


Kwa upande wake Katibu wa Chama Cha Watu wenye Ualbino Tanzania Bw. Nassoro Ernest Amos ameishukuru TAKUKURU kwa kutoa Mafunzo hayo kuhusu Elimu ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 kwa Makundi ya watu wenye Mahitaji Maalumu kwani wamepata Elimu itakayowawezesha kuwa mstari wa mbele kushiriki Katika mapambano dhidi ya Rushwa.

"Tumepata Elimu itakayotuwezesha na sisi watu wenye Mahitaji Maalumu kushiriki Katika mapambano hayo kwa kuwa Rushwa ni adui mkubwa wa haki na wajibu wetu ni kuitokomeza kwa kuhakikisha tunachagua Viongozi Waadilifu ambao hawajatokana na Rushwa" Alisisitiza Nassoro Amos.


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.