• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

TRA IRAMBA YAVUKA MALENGO YA UKUSANYAJI KODI KWA ASILIMIA 130, YAWASHUKURU WALIPAKODI

Posted on: July 1st, 2025

TRA IRAMBA YAVUKA MALENGO YA UKUSANYAJI KODI KWA ASILIMIA 130, YAWASHUKURU WALIPAKODI


Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Iramba imetoa shukrani kwa walipakodi Wilayani Iramba kwa ushirikiano katika suala la ulipaji kodi, hali iliyowezesha mamlaka hiyo kuvuka malengo ya ukusanyaji kodi kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio ya asilimia 130.


Akizungumza Julai 1, 2025 katika hafla fupi ya kutoa shukrani kwa walipakodi iliyofanyika katika maeneo ya Kiomboi, Misigiri na Shelui, Kaimu Meneja wa TRA Wilaya ya Iramba, Bw. Detrick Andrew, alisema kuwa ushirikiano kati ya wafanyabiashara, wananchi na mamlaka hiyo umechangia kwa kiasi kikubwa kufikiwa kwa mafanikio hayo.


“Kwa mwaka wa fedha 2024/25, TRA Iramba imevuka malengo ya makusanyo kwa miezi yote kumi na mbili, ambapo lengo lilikuwa Shilingi 3,191,272,402 na tumekusanya Shilingi 4,137,436,842, sawa na asilimia 130 ya ufanisi,” alieleza Bw. Andrew.


Kaimu Meneja huyo pia aliwakumbusha wafanyabiashara umuhimu wa kutoa risiti kila wanapouza bidhaa au huduma, huku akiwaasa wananchi kudai risiti kila wanaponunua.


“Ndugu zangu wafanyabiashara na wananchi, mafanikio tunayoyapata yanatokana na ushirikiano wenu. Tuhakikishe tunatoa na kudai risiti ili tuendelee kujenga taifa letu,” alisisitiza.


Kwa upande wake, mmoja wa wafanyabiashara kutoka Kiomboi, Bi. Bernice Msuya, aliipongeza TRA kwa mbinu zake shirikishi na rafiki katika ukusanyaji wa kodi.


“Tunawashukuru TRA kwa kutumia mbinu rafiki. Tumekuwa tukipewa elimu ya umuhimu wa kulipa kodi kwa wakati, jambo ambalo linatuwezesha kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa,” alisema Bi. Msuya.

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.