• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

TUMIENI MICHEZO KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA

Posted on: August 23rd, 2025

TUMIENI MICHEZO KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA


SHISEMITA, TANGA


Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) Mhe. Zainab Katimba ametoa rai kwa Watumishi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa wanaoshiriki mashindano ya SHIMISEMITA 2025 kutumia fursa ya mashindano hayo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la upigaji kura wa kuchagua Rais Wabunge na Madiwani siku ya Oktoba 29, 2025.


Akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindao hayo mapema Agosti 23, 2025 katika Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga Mhe. Katimba amewataka watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kushiriki kikamilifu mashindano haya na kuwakumbusha wananchi kuhusu zoezi kubwa la kitaifa la uchaguzi ikiwa ni sambamba na kiwaeleimisha wananchi hao juu ya faida ya kuchagua viongozi bora kwa maendeleo ya michezo na taifa kwa ujumla.


“Kupitia kauli mbiu hiyo Sanaa na Michezo ikawe chachu ya watumishi wengine ambao hawakupata fursa hii na jamii kwa ujumla kuonesha uzalendo wa kuipenda nchi yao kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025 na kuchagua viongozi walio bora na siyo bora viongozi” amesema Mhe. Katimba.


Aidha, Mhe. Katimba ametumia fursa hii kuwataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Serikali za Mitaa nchini kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuwezesha michezo.


Ikiwemo migao ya kila mwezi katika Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa ili iwasaidie katika kuratibu shughuli za michezo sambamba na ushiriki wa wanamichezo kutoka kwenye kila Halmashauri husika kwani michezo inasaidia kuimarisha afya, ukakamavu, upendo, ushirikiano pamoja na kudumisha nidhamu mahala pa kazi.


Katika Hotuba yake Mhe. Katimba amethibitisha kuwa jumla ya Halmashauri 150 kati ya 184 zimeshiriki Mashindano ya SHIMISEMITA 2025 ambapo jumla ua watumishi 3504 wamewasili Jijini Tanga huku miongoni mwao Wanaume wakiwa 2114 na Wanawake 1390.


Sambamba na hilo Naibu Waziri Mhe. Katimba amesisitiza na kuelekeza Halmashauri zote nchini kuhakikisha zinashiriki kikamilifu mashindano yajayo ya SHIMISEMITA mwaka 2026.


Mashindano haya ya SHIMISEMITA 2025 yenye kauli mbiu ya “Jitokeze Kupiga Kura kwa Maendeleo ya Michezo”

Tangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO (WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA) October 23, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • IRAMBA DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE, WASICHANA 137 WAPEWA ELIMU KUHUSU HAKI NA ULINZI DHIDI YA UKATILI

    October 13, 2025
  • IRAMBA DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE, WASICHANA 137 WAPEWA ELIMU KUHUSU HAKI NA ULINZI DHIDI YA UKATILI

    October 13, 2025
  • TAKUKURU IRAMBA YATOA SEMINA KWA MAAFISA USAFIRISHAJI KUZUIA RUSHWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 09, 2025
  • MAZOEZI YA VIUNGO KWA WATUMISHI NA WANANCHI WA KATA YA KIOMBOI NA MAENEO YA JIRANI

    October 09, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.