• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

TUTUMIE SIKU YA JUMAMOSI KWA AJILI YA KUFANYA MICHEZO MBALIMBALI ILI KUIMARISHA AFYA ZETU....DC - MWENDA

Posted on: November 16th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda amewataka Watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Iramba kuitumia siku ya Jumamosi ya Kila juma kushiriki kwa ajili ya kufanya Michezo ya aina mbalimbali ili kuimarisha Afya zao dhidi ya magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza.


Mwenda ameyasema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya Wiki ya magonjwa yasiyoambukiza yaliyofanyika Jumamosi Novemba 16,2024 kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Kiomboi Hospitali na kuhudhuriwa na Watumishi na Wananchi mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali.


"Tumekuwa na majukumu mengi ya Ujenzi wa Taifa tumesahau kufanya Mazoezi kwa ajili ya kuimarisha Afya zetu dhidi ya magonjwa mbalimbali,kuanzia Sasa tutakuwa tunaitumia siku ya Jumamosi kufanya Michezo ya aina mbalimbali na ninatoa vifaa vya Michezo kama Jezi,Viatu,Mipira na vifaa vingine vya Michezo ya aina mbalimbali kwa lengo la kuongeza hamasa kwa Watumishi na Wananchi kufanya Michezo ili kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza" Amesisitiza DC Mwenda


Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Daniel Paul Amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya kwa kutumia Wataalamu wa Afya wameweza kutoa Elimu kwa Watumishi na Wananchi kwenye maeneo mbalimbali Wilayani Iramba kuzingatia ulaji wa vyakula nyenye virutubisho Vyote,kufanya Mazoezi.


"Tumefanikiwa kutoa Elimu ya Afya na mtindo wa maisha huduma ya vipimo na ushauri na namna Bora ya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza,kufanya Mazoezi kwa kutembea ila siku kilometa 2, Kufanya Mazoezi mepesi kupitia Muziki Maalumu wa Mazoezi ( Aerobick dance), Watumishi na Wananchi mbalimbali walishiriki kuchangia damu ili kiokoa maisha ya Watanzania mbalimbali yanayopotea kwa ajali na wakati wa kujifungua ambapo hukosa damu" Amesema Kaimu Mganga Mkuu


Maadhimisho ya Wiki ya Kuzuia magonjwa yasiyoambukiza yaliyofanyika kuanzia Novemba 9, na kuhitimishaa Novemba 16,2024. Kauli Mbiu ya maadhimisho ya Mwaka huu ni "MUDA NI SASA ZUIA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA MAHALA PA KAZI".

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.