• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Ukaguzi wa Miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Iramba mkoani Singida.

Posted on: July 7th, 2018

Ofisi ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji ya Halmashauri ya wilaya ya Iramba imefanya ziara ya kukagua Miradi  mbalimbali ya maendeleo wilayani Iramba mkoani Singida.

Ujenzi wa Daraja la Mtoa lenye urefu wa Mita60, Kina cha Mita 6 na Upana wa mita 6 linalojengwa Kijiji cha Mtoa kata ya Mtoa Wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari Ushora kata ya Ndago wilaya ya Iramba Mkoani Singida ambao upo katika hatua ya mwisho.

Mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari Urughu kata ya Urughu Tarafa Ndago  wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

Mradi wa Ujenzi wa kituo cha Afya Ndago kinachojengwa kata ya Ndago wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida. 

Ujenzi wa nyumba ya Walimu yenye vyumba viwili (two in one) katika shule ya Msinigi Songambele kata ya Ndago wilaya ya Iramba ambao hupo hatua ya kupauliwa.

Ujenzi wa Hostel shule ya sekondari Ndago Kata ya Ndago wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Ushora kata ya Urughu Tarafa ya Ndago  wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Mradi wa ujenzi vya vyumba vitatu vya Madarasa katika shule msingi Mtekente Kijiji cha Lunsanga kata ya Mtekente  ambao upo hatua ya kupauliwa.

Ujenzi wa chumba kimoja cha Darasa shule ya msingi Kigurunsungi iliyopo Kijiji cha Lunsanga kata ya Mtekente wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari Mtekente kata ya Mtekente Tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Mradi wa Ujenzi wa vyumba nne vya Madarasa na Ofisi moja katika shule ya msingi Ikaranga kata Mtoa wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

Mradi wa ujenzi wa vyumba nne vya Maabara katika shule ya sekondari Mtoa kata ya Mtoa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.


Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.