• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Uzinduzi wa Wiki ya Maji

Posted on: March 18th, 2019

Wapili kulia ni Afisa Tawala, Dijovison Ntangenki akiwahutubia maafisa mbalimbali katika siku ya Wiki ya Maji eneo la Maguli leo tarehe 18.03.2019. Mpiga picha Hemedi Munga

Afisa Tawala Wilaya ya Iramba, Dijovison Ntangeki, akiongea katika uzinduzi wa Wiki ya Maji leo tarehe 18/03/2019 katika vyanzo vya maji vya Mamlaka ya Maji, Mji wa Kiomboi eneo la Magula amewataka watu wa mamlaka ya maji kubadilika.

“ili kutunza miti inayopandwa na ingependeza sana kama tungepewa takwimu za mwaka jana miti mingapi iliyopanndwa na miti mingapi iloyokua.

Ninaagiza kwa Mamlaka ya Maji, miti tunayoipanda leo, miti mia moja angalau mwakani tukute 95% imekua, na jukumu la kuitunza miti hii ni la Mamlaka ya Maji na tusiache miti ijiotee, mifugo kuchungia, ngombe, mbuzi au wapita njia waingoe.”

Amemtaka Kaimu Mhandisi wa Maji Mhandisi Athumani Mkalimoto atakapokua anawaalika mwakani awe ni Mkuu wa Wilaya, Katibu Tawala au Afisa Tawala aje na taarifa ya maendeleo ya miti tunayoipanda leo na hii itutakua tunatekeleza kauli mbiu inayosema:

 “Hakuna atakae achwa: Kuongeza kasi ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na usafi wa mazingira kwa wote katika Dunia inayobadilika kitabia ya Nchi”

Naye Kaimu Mhandisi wa Maji Wilayani Iramba, Mhandisi Athumani Mkalimoto amesema” Kupitia Wizara ya Maji, tunaazimisha Wiki ya Maji na katika Wiki ya Maji tumesisitizwa kupanda miti kwenye vyanzo vya maji, kuelimisha jamii sheria ya maji ya mwaka 2019 sheria namaba 11 na kufundisha jumuiya.

Katika Dunia iliyobadilika kitabia ya Nchi, tunapanda miti ili kuhakikisha tunatunza vyanzo vyetu na tunakua na vyanzo endelevu vitakavyosababisha Mji wa Kiomboi unapata maji safi na salama kwa hali endelevu.

Akiongea katika uzinduzi huo, Fundi Sanifu, Juma Hamisi Makala amesema, tunapanda miti ili kuzuia vyanzo vya maji visiathirike na mabadiliko ya tabia ya Nchi na kutunza mazingira.

Naye Fundi sanifu, Naomi Elias Mkoma amesema, uzinduzi huu tunapanda miti mia moja katika kisima namba moja, namba mbili na namba tatu ili kulinda vyanzo vya maji eneo la visima na kuweka mazingira vizuri.

Afisa Tawala, Dijovison Ntangeki akipanda mti eneo la Magula leo tarehe 18.032019 katika Wiki ya Maji. Mpiga picha Hemedi Munga.

Kaim Mhandisi wa Maji Wilayani Iramba, Mhandisi Athumani Mkalimoto akipanda mti eneo la Magula leo tarehe 18.03.2019 katika Wiki ya Maji. Mpiga picha Hemedi Munga

Kaim Mweka Hazina Wilayani Iramba, Prosper Banzi, akipanda mti eneo la Magula katika Wiki ya Maji leo tarehe 18.03.2019. Mpiga picha Hemedi Munga.

Afisa TEHAMA Wilayani Iramba, Hemedi Munga akipanda mti eneo la Magula leo tarehe 18.03.2019 katika Wiki ya Maji. Mpiga Picha Prosper Banzi.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.