• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Wadau wa maendeleo ya Ruruma (Ruruma development club) wachangia madawati 25 katika shule ya msingi Ruruma wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Posted on: December 28th, 2018

Mkurugenzi mtendaji wa halmashuri ya wilaya ya Iramba Mwl.Linno Mwageni amekabidhiwa madawati 25 yenye thamani ya shilingi 2,750,000 kutoka kwa Wadau wa maendeleo ya Ruruma (Ruruma development club-RDC) kwa ajili ya shule ya msingi Ruruma ili kuunga mkono jitihada za serikali.

Akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati hayo, Mwl. Mwageni ameshukuru sana Wadau wa maendeleo ya Ruruma kwa ushirikiano mkubwa wa kutoa michango mbalimbali. “Tunawashukuru kwa kuwa mpo karibu nasi, tunawapenda sana kwa kuwa tunapowahitaji mnakaribia na mkishirikishwa katika maendeleo mbalimbali, ninawahakikishia madawati haya muliyoyatoa yatatumika vizuri na utaona ufaulu wa watoto wetu utaongezeka zaidi.” Alisema Mwl. Mwageni.

Aidha ametoa shukrani za dhati kwa mfadhili mzawa Bwana. Joseph Katala kwa uzalendo wake wa kutoa msaada wa madawati 40 yenye thamani ya Shilingi za kitanzani milioni 3 na kusaidia ukarabati wa vyumba 2 vya madarasa. Vile vile amemshukuru mwandisi Jumbe Katala kwa kuchangia mifuko 24 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa chumba cha darasa.

Mwl. Mwageni ametoa wito kwa wananchi na wazawa wa Iramba waliopo ndani na nje ya Iramba kuiga mfano wa wanajumuiya ya maendeleo wa Ruruma (Ruruma development club-RDC).” Malengo ya Halmashauri ni kuandikisha wanafunzi 8227 kwa darasa la kwanza wakiwemo wavulana 4221 na wasichana 4006, kwa idadi hii lazima mahitaji ya samani, walimu na miundombinu yataongezeka. Yote haya ni ya msingi hivyo ushirikiano wenu unahitajika sana kati ya serikali na Wadau wa maendeleo ili kuunga mkono jitihada za serikali” alisema Mwl. Mwageni.

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni akiwa katika picha ya pamoja na wanajumuiya wa maendeleo ya Ruruma wilayani Iramba mkoa wa Singida.

Wanajumuiya wa maendeleo ya Ruruma wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni katika hafla ya kukabidhiana madawati katika shule ya msingi Ruruma kata ya Kiomboi  wilayani Iramba mkoa wa Singida.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.