• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

WALIMU WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MATUMIZI YA NJIA NA VIFAA VILIVYOBORESHWA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA MTAALA WA ELIMU YA AWALI KUPITIA MRADI WA BOOST

Posted on: December 19th, 2024


Akizungumza Disemba 19, 2024 katika ufunguzi wa mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri Afisa Elimu Wilaya, Idara ya Elimu ya Awali na Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mwalimu Rose Willgeofrey Kibakaya amewataka Walimu Kuzingatia mafunzo hayo ili kuinua taaluma na kuwawezesha wanafunzi wa awali kufahamu kusoma, kuhesabu na kuandika.


"Nia ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kubadilika tutoke hapa tulipo, Kwahiyo tuna Imani mtafundishwa vizuri na mtakuwa ni chachu kwa maendeleo ya Elimu Wilaya ya Iramba.Tunawategemea sana naomba mafunzo hayo myasikilize vizuri." Alisema Mwalimu Rose Kibakaya


Kwa upande wake Afisa Tawala kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) idara ya Usimamizi wa Elimu Joyce Henry kitundu amesema zoezi hili ni kwaajili ya kuwawezesha Walimu wa awali kufahamu mitaala iliyoboreshwa ili kuitumia vyema katika ufundishaji.


"Tunataka Madara ya Elimu ya awali yaongee ili mtu alifika shule akutane na darasa lenye picha na vitendea kazi ili apende na kuhamasika kwenda kujifunza. Kwahiyo zile zana watakazozitengeneza Walimu zitawasaidia watoto namna ya kujifunza Elimu yao ya awali kabla ya Elimu ya Msingi." Alisema Joyce Henry


Mafunzo hayo yalianza Disemba 16-18, 2024 kwa Walimu Mahiri pamoja na mthibiti Ubora wa shule kwa ngazi ya Wilaya, na kuendelea kwa siku nne kwa Walimu wa awali na siku tatu kwa Walimu wakuu na na walimu wanaofundisha darasa la Awali yatahitimishwa Jumamosi Disemba 22, 2024.




Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.