• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

Posted on: March 19th, 2025

Walimu Wakuu 108 wa Shule za Msingi na Maafisa Elimu kata 20 Wilayani Iramba wapewa Mafunzo Endelevu ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji fanisi kupitia Jumuiya za kujifunza za Walimu Wakuu na maafisa Elimu Kata.


Mafunzo hayo ya Siku tatu yanayo ratibiwa na Mradi wa Serikali wa Shule Bora yameanza Machi 19-21, 2025 katika Shule ya Msingi Kiomboi Bomani.


Akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mwl. Rose Willgeofrey Kibakaya amewasisitiza Walimu Wakuu na maafisa Elimu Kata kuendelea kuwa na ushirikiano mahali pa kazi huku akitoka wito kwao kuyatumia mafunzo hayo kuongeza ufaulu wa Madarasa yote ya Mtihani.


"Nia ya Shule Bora ni kuwapa uwezo viongozi na ninyi ni viongozi, uwezo huu ni kupitia Mawasiliano mahali pa kazi. Jumuiya inayojifunza lazima itambue kuwa mahali pa kazi panahitaji ushirikiano. Pia Nia ya mafunzo haya ni kuongeza ufaulu kwa Madara ya Mtihani ndio maana leo mnapata mafunzo ya jinsi gani kuwa na mawasiliano na ushirikiano ndani ya Jumuiya ya Ujifunzaji". Amesema Mwalimu Kibakaya.


Kwa upende wake Mwezeshaji Kitaifa Zipora John Hosea amesema Mradi wa Shule Bora unasimiamia nyanja kuu nne ambazo ni ushirikishwaji wa Jamii katika masuala ya kielimu, masuala ya ujumuishi, Uongozi na Utawala, Ufundishaji na Ujifunzaji na umelenga kuhakikisha mikoa legwa inafanya vizuri katika masuala ya kitaaluma na sekta ya Elimu kwa ujumla.


"Shule Bora inasimamia sana kuhakikisha mikoa hii Tisa ukiwemo mkoa huu wa Singida inafanya vizuri katika masuala ya Kitaaluma na sekta ya Elimu. Tupo hapa kuwasaidia viongozi hawa kuona wanawezaje tatua changamoto za Kiuongozi na kushirikishana katika kuinua maeneo yao kitaaluma." Amesema Bi Zipora Hosea.


SHULE BORA ni mradi wa Serikali ufadhiliwa wa Serikali ya Uingereza kupitia mfuko wa UK aid kwa lengo la kukuza na kuboresha ufundishaji na ujifunzaji ndani ya shule ili kuboresha Elimu katika mikoa Tisa nchini mambayo imekuwa haifanyi vizuri kitaaluma. Mikoa hiyo ni pamoja na Singida, Katavi, Rukwa, Dodoma, Mara, Simiyu, Pwani, Tanga na Kigoma.




Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.