• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

WANANCHI ENDELEENI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA MLIPUKO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU-DC MWENDA

Posted on: November 5th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda amewataka wananchi kuchukua tahadhari kwa kufanya usafi na kuzingatia matumizi sahihi ya vyoo Pamoja na kunywa maji safi na salama ili kuepukana na ugonjwa wa Kipindupindu.


Dc Mwenda ameyasema hayo Novemba 5, 2024 katika mikutano wa hadhara na wananchi wa Vijiji vya Kata ya Ndulungu Alipofanya Mikutano ya hadhara kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi kwenye Vijiji vya Kipuma,Ndulungu, Mwanduigembe na Mahola.


“Niwaombe wananchi kuzingatia usafi na kwa mgonjwa yeyote yule ambao ana dalili za ugonjwa huu ikiwa ni kutapika na kuharisha basi awaishwe kwenye kituo cha afya na mtoe taarifa kwa viongozi ili hatua za haraka zichukuliwe kwani kipindupindu kipo ambapo ni Wilaya ya Jirani hivyo lazima tuhakikishe tunachukua tahadhari ya hali ya juu ”. Amesema DC Mwenda.


Aidha Mwenda amesema kila wananchi anawajibu wa kulinda afya yake na familia yake kuwakinga na madhara Pamoja na mlipuko huu wa kipindupindu kwa kutumia maji safi na salama kwa kuyatibu na dawa au kuchemsha na kuhifadhi sehemu iliyo salama.


Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Iramba Dkt. Glory Andrew amehimiza matumizi sahihi ya vyoo na kuwataka wananchi wote wazingatie usafi wa mazingira ili kuendelea kuudhibiti ugonjwa wa Kipindupindu usiingie kwenye maeneo yao


Mganga Mkuu amesema ni wajibu wa kila mwananchi kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Kipindupindu na kufuata ushauri wa wataalamu katika kukabiliana na ugonjwa huu.


Hata hivyo amewataka watendaji wa kata,Vijiji kuhakikisha wananchi wote wanatumia vyoo na yule atakaebainika hana choo katika kaya yake awajibishwe kisheria.


Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.