• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

WATANZANIA WATAKIWA KUTEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUJIFUNZA SHUGHULI ZA UHIFADHI

Posted on: August 5th, 2025

WATANZANIA WATAKIWA KUTEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUJIFUNZA SHUGHULI ZA UHIFADHI


Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda amewasihi Watanzania kutembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii ili kujifunza shughuli mbalimbali za Uhifadhi na Historia ya maisha ya mwanadamu.


Mwenda amesema hayo Agosti 5, 2025 Nzuguni Jijini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii, katika maonesho ya 32 ya wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) huku akiipongeza Wizara hiyo kwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa watazamaji kufanya Utalii wa ndani kupitia rasilimali za taifa zilizopo hapa nchini.


"Kwakweli ni eneo muhimu kutembelea hasa kwa viongozi hata kwa wananchi, kwa watoto na wakubwa kuna sehemu ya makumbusho ya vitu vya asili inayoonesha mabadiliko ya maisha, kutoka zama zilizopita mpaka sasa, lakini pia watapata fursa ya kujifunza historia ya nchi yetu, haya yote yanapatikana katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii." alisema DC Mwenda.

Tangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI NA KUPOKEA TAARIFA YA CAG MWAKA WA FEDHA 2023/2024 TAREHE 18, JUNI 2025 June 16, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • WAJASIRIAMALI IRAMBA WAPEWA WITO WA KUCHANGAMKIA ZABUNI ZA VYAKULA

    August 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WADOGO 283 IRAMBA WAELIMISHWA UBUNIFU, MASOKO NA USAJILI KUPITIA MFUMO WA WAJASILIAMALI PORTAL (WBN-MIS)

    August 02, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA NANENANE 2025

    August 08, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI

    August 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.