• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Watoto 66, 281 wamechanjwa wilayani Iramba kampeni ya cha chanjo surua rubella na polio. Picha na Hemedi Munga

Posted on: November 6th, 2019

By Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba.Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula ameipongeza Timu ya uendeshaji wa Huduma za Afya za Halmashauri (CHMT) kwa kuvuka lengo katika kampeni ya chanjo ya surua rubella na Polio.

Luhahula ameyasema hayo leo Jumatano Novemba 06, 2019 wakati akipokea taarifa fupi ya tathimini ya kampeni ya chanjo ya surua rubella na polio ukumbi mdogo wa Halmashauri, wilayani  Iramba Mkoa wa Singida Tanzania.

Akiwasilisha taarifa fupi ya mafanikio ya uchanjaji wa chanjo ya surua rubella na polio mbele ya  Mkuu wa Wilaya hiyo, Mratibu wa Chanjo Wilaya, Jackson Shilla amesema watoto 42,778 wamechanjwa chanjo ya surua rubella huku watoto 23,503 wamechanjwa chanjo ya polio.

Uchanjaji huo umevuka lengo lililokuwa limekusudiwa kuchanja watoto wote wenye umri wa miezi 9 hadi chini ya miaka mitano. Aliongeza Shilla

Akichangia mada katika kikao hicho Afisa Takukuru, Benjamin Maysaga ameitaka   Timu ya uendeshaji wa Huduma za Afya za Halmashauri (CHMT) kutoa elimu ya chanjo hizo kwa wafugaji na wale wanaoendesha zoezi hilo  huku akiwatahadharisha kujiepusha na rushwa.

Kampeni ya chanjo ya surua rubella na polio ilifanyika nchi nzima kuanzia Oktoba 17 hadi 21, 2019 chini ya Wizara ya Afya, Ustawi wa jamii, Jinsia Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Shirika la Afya Dunia (WHO), UNICEF na wadau wengine wa maendeleo.

Chanjo hizo zitaendelea kutolewa chini ya kauli mbiu isemayo “Chanjo ni kinga kwa pamja tuwakinge”                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                       

Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula akiwa pamoja na wajumbe wa kamati ya afya ya msingi PHC iliyofanyika leo Novemba 06, 2019 ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba. Picha na Hemedi Munga

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.