• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Watoto 66, 281 wamechanjwa wilayani Iramba kampeni ya cha chanjo surua rubella na polio. Picha na Hemedi Munga

Posted on: November 6th, 2019

By Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba.Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula ameipongeza Timu ya uendeshaji wa Huduma za Afya za Halmashauri (CHMT) kwa kuvuka lengo katika kampeni ya chanjo ya surua rubella na Polio.

Luhahula ameyasema hayo leo Jumatano Novemba 06, 2019 wakati akipokea taarifa fupi ya tathimini ya kampeni ya chanjo ya surua rubella na polio ukumbi mdogo wa Halmashauri, wilayani  Iramba Mkoa wa Singida Tanzania.

Akiwasilisha taarifa fupi ya mafanikio ya uchanjaji wa chanjo ya surua rubella na polio mbele ya  Mkuu wa Wilaya hiyo, Mratibu wa Chanjo Wilaya, Jackson Shilla amesema watoto 42,778 wamechanjwa chanjo ya surua rubella huku watoto 23,503 wamechanjwa chanjo ya polio.

Uchanjaji huo umevuka lengo lililokuwa limekusudiwa kuchanja watoto wote wenye umri wa miezi 9 hadi chini ya miaka mitano. Aliongeza Shilla

Akichangia mada katika kikao hicho Afisa Takukuru, Benjamin Maysaga ameitaka   Timu ya uendeshaji wa Huduma za Afya za Halmashauri (CHMT) kutoa elimu ya chanjo hizo kwa wafugaji na wale wanaoendesha zoezi hilo  huku akiwatahadharisha kujiepusha na rushwa.

Kampeni ya chanjo ya surua rubella na polio ilifanyika nchi nzima kuanzia Oktoba 17 hadi 21, 2019 chini ya Wizara ya Afya, Ustawi wa jamii, Jinsia Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Shirika la Afya Dunia (WHO), UNICEF na wadau wengine wa maendeleo.

Chanjo hizo zitaendelea kutolewa chini ya kauli mbiu isemayo “Chanjo ni kinga kwa pamja tuwakinge”                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                       

Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula akiwa pamoja na wajumbe wa kamati ya afya ya msingi PHC iliyofanyika leo Novemba 06, 2019 ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba. Picha na Hemedi Munga

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA November 03, 2023
  • KUITWA KAZINI November 29, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wamefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani Iramba

    October 24, 2023
  • RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KISHINDO, WANANCHI WAMSHUKURU KWA MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea rasmi Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tabora na aliyekabidhi ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Batlida Briani.

    September 22, 2023
  • MKIMBIZA Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Abdalla Shaibu Kaim amewataka Watanzania kuhakikisha wanakemea vitendo vya rushwa kwa maelezo kuwa rushwa inakwamisha maendeleo ya Mkoa pamoja na Taifa kwa ujumla

    September 22, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.