WATUMISHI WA AJIRA MPYA WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO YA UTUMISHI WA UMMA
Novemba 18, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Iramba imetoa mafunzo ya siku mbili (Novemba 17-18, 2025) kwa watumishi wa ajira mpya ili kuwajengea uwezo na uelewa wa pamoja kuhusu masula mablimbali katika Utumishi wa umma.
Mada zilizofundishwa ni pamoja na Muundo wa Serikali za Mitaa/Haki na wajibu wa wa mtumishi wa Umma, elimu kuhusu PSSF, uendeshaji wa vikao, elimu kuhusu OSHA, maadili katika utumishi wa umma, elimu kuhusu WSF, Huduma kwa Mteja, pamoja na Bima.
KIOMBOI, IRAMBA
Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA
Telephone: 026 - 2532253
Mobile: 026 - 2533001
Email: ded.irambadc@singida.go.tz
Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.