• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Waziri wa Kilimo, Mhe. Dkt. Charles Tizeba amefanya ziara ya kizindua msimu wa ununuzi wa Pamba Kata ya Mtoa wilayani Iramba Mkoani Singida.

Posted on: June 9th, 2018

Waziri wa Kilimo, Mhe. Dkt. Charles Tizeba amefanya ziara ya kizindua msimu wa ununuzi wa Pamba Kata ya Mtoa wilayani Iramba Mkoani Singida.

 Waziri wa Kilimo, Mhe. Dkt Charles Tizeba aliyeambatana na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel Luhahula, Kaimu Mkrugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Bi. Marietha Kasongo, Viongozi wa Mkoa wa Singida na Viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba wamefanya ziara hiyo katika vijiji vya Msansao na Mtoa.

 Dkt. Tizeba ametangaza bei elekezi ya kununulia pamba msimu huu wa 2018/19 kuwa shilingi 1,130/= kwa kilo moja ya pamba mbegu.  Akizungumza na wananchi Dkt Tizeba amesema, “Msimu huu, bei ya pamba ni shilingi 1,130/= kwa kilo moja.  Hii ni kutokana na bei katika soko la dunia kuwa haziridhishi, na kwamba bado pamba yetu nyingi inauzwa nje ikiwa ghafi hali inayotufanya tuwe tegemezi kwenye suala la bei, lakini Serikali iko katika mchakato wa kuhamasisha maendeleo ya Viwanda vya nguo nchini hali hii itaboresha bei ya pamba nchini.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel Luhahula  Aliongeza  kusema kwamba, katika msimu huu wa kilmo cha pamba Pembejeo zote zimetolewa bure kwa wakulima wa pamba pia kuwahakikishia wakulima wa pamba kuanzia msimu ujao wa kilimo, wakulima watapatiwa pembejeo zote ambazo ni mbegu za kupanda, Bomba za Kunyunyizia wadudu, viuadudu na kamba za kupandia bure bila kulipia gharama yoyote. 

Dkt Tizeba amewashauri wakulima wa pamba baada ya kuuza pamba fedha zao zilipwe kupitia akaunti za benki au kwa kutumia M-pesa, Airtel Money n.k ili kuwa na usalama wa fedha zao. Aliongeza kusema wakulima walipwe kwa wakati na kwa kuzingatia sheria za ununuzi wa pamba pamoja na usafi na ubora wa pamba. Dkt Tizeba alisema usafi na ubora wa pamba ni suala ambalo linapewa kipaumbele kikubwa kwa sababu uchafu kwenye pamba unaathiri ubora na sifa ya pamba katika soko la dunia. 


Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.