• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Waziri wa Maji na Umwagiliziaji Pro. Makame Mbarawa amefanya ziara ya kukagua uchimbaji wa visima 3 vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Posted on: February 12th, 2019

Waziri wa Maji na Umwagiliziaji Prof. Makame Mbarawa akisalimia wananchi katika ziara ya kukagua mradi wa uchimbaji visima vya maji kata mgongo tarafa ya Shelui wilayani Iramba mkoani Singida.

Waziri wa Maji na Umwagiliziaji Prof. Makame Mbarawa akipata maelezo mafupi toka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Majitaka mkoani Singida (SUWASA) Mhandisi Patrick Mzamba juu ya mradi wa uchimbaji wa visima 3 vya maji katika kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilayani Iramba.

Waziri wa Maji na Umwagiliziaji Prof. Makame Mbarawa amefanya ziara ya kukagua uchimbaji wa visima 3 vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Waziri wa Maji na Umwagiliziaji Prof. Makame Mbarawa ameongozana na Mwakilishi wa mkuu wa wilaya ya Iramba Ndg. Dijovison Ntangeki, Kaimu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mhe: Samwely Shilla (Diwani wa CCM kata ya Ulemo), Kaimu mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Ndg. Emmanuel Makwaya, waandisi wa maji ofisi ya mkuu wa mkoa wa Singida, waandisi wa maji wa wilaya ya Iramba na wataalamu mbalimbali katika ziara ya kukagua mradi wa uchimbaji wa visima kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilayani Iramba.

Waziri wa Maji na Umwagiliziaji Prof. Makame Mbarawa akizungumza na waheshimiwa madiwani wilayani Iramba na wanahabari mara baada ya kumalizia ziara yake ya kutembelea mradi wa uchimbaji wa visima 3 vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui, amemwaagiza mkandarasi pamoja na wataalamu wote wanaoshiriki kutekeleza mradi huo wasiwe kikwazo cha mradi huo kutokamilika kwa wakati na kufanikisha lengo la kumaliza kero ya maji kwa wakazi wa Kiomboi.

“mradi huu ulitegemewa ukamilike kwa mwezi mmoja, sasa unachukua miezi mitatu, hii haikubariki kwa sababu kuna maeneo mengi watanzania wanahitaji kuchimbiwa maji na kwa mradi huu wananchi wamesubiri maji kwa mda mrefu, lazima mhakikishe kazi inamalizika kwa wakati na machine hii inahitajika kwenda kuchimba maji sehemu zingine alisema waziri Mbarawa.

Mradi huo wa uchimbaji wa visima 3 vya maji, tunategemea baada ya uchimbaji wa visima hivi kukamilika vitakuwa na uwezo wa kutoa takribani lita milioni 2.1 kwa siku. Nia ya serikali ni kuhakikisha watanzania wote wanapata maji safi na salama na ifika mwaka 2020 vijiji vyote tanzania vitapata maji safi na salama kwa asilimia 85 na maeneo ya mijini itapata maji kwa asilimia 100 alisema Profesa Mbarawa.

Aliongeza kusema “kuna mradi mwingine wa maji unatokea shinyanga kuleta maji Tabora, Igunga na tarafa ya Shelui ambao utagawa maji katika vijiji vyote vya Shelui ili kuhakikisha watanzania wanapata maji safi na salama.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.