• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

ZAIDI YA BIL. 1.59 ZA MRADI WA BOOST KUONDOA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU YA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA KATIKA SHULE ZA MSINGI WILAYANI IRAMBA”

Posted on: April 6th, 2023

ZAIDI YA BIL. 1.59 ZA MRADI WA BOOST KUONDOA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU YA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA KATIKA SHULE ZA MSINGI WILAYANI IRAMBA”

Jumla ya vyumba vya madarasa 18 na matudu ya vyoo 18  vinatarajiwa kujengwa katika maeneo mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ili kupunguza upungufu na msongamano wa wanafunzi kupitia mradi mpya wa Boost utakaogarimu Kiasi cha shilingi 1,590,000,000/=

Akizungumza wakati akifungua kikao cha Kutambulisha mradi huu kwa wajumbe kutoka shule ambazo zimepata bahati ya kutekeleza mradi huu wa Boost Leo tarehe 04 aprili 2023 Afisa Tarafa ya Kisiriri Bw. Oswald Leopold kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleimani Yusuph Mwenda amesema,

“Tunaishukuru sana serikali ya awamu ya sita chini ya Raisi wetu Dkt Samia Suluhu Hasani kwa kushirikiana na Benki ya Dunia kutuletea mradi huu wa Boost ambao unakwenda kumaliza changamoto ya miundombinu katika sekta ya Elimu kwa kukarabati na kujenga miundombinu ya shule kwa elimu yaa awali na msingi”.

*Niwaombe sana wajumbe kila mmoja kwa nafasi yake akatimize majukumu yake na kuhakikisha mradi huu wa Boost unakamilika kwa wakati na unakuwa na ubora unaostahili, Na mradi huu sasa tutakwendas kulipwa kulingana na matokeo yani kama tutamaliza kwa wakati na madarasa yakawa na viwango vinavyohitajika tutakua na firsa ya kuongezewa fedha zingine kwaajili ya kukarabati na kujenga miundombinu mingine kwa shule ambazo bado zina uhitasji lakini kama hatutamaliza kwa waskati maana yake tutaziba fursa ya kuendelea kupata fedha za mradi huu wa Boost. Alisisitiza Bw. Oswald

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.