• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA; YAPITISHA JUMLA YA TSH BILIONI 34.9 KATIKA RASIMU YA BAJETI YA MWAKA. MPYA 2024 -2025:

Posted on: December 3rd, 2023

 Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida , limepitisha Kwa kauli Moja rasimu ya bajeti  ya mapato na matumizi Jumla ya shilingi bilioni 34.9  Kwa Mwaka Mpya wa fedha ujao  2024 -2025  katika kikao Maalumu Cha Baraza la Madiwani  kilichoketi Machi 07 Mwaka huu katika Ukumbi mkubwa wa mikutano katika Halmashauri hiyo.


 Akisoma Bajeti hiyo Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo  Gunnah Charles Maziku Amesema kuwa  Halmashauri ya Iramba imeweka makisio hayo kutoka na  kupata fedha hizo katika vyanzo mbali mbali ikiwemo Mapato ya ndani kiasi Cha Tsh. BL 3.6  mishahara  bilioni 18.7Matumizi mengineyo bln1.1miradi ya maendeleo Ruzuku kutoka Serikali kuu , bilioni 5. 6  na miradi ya maendeleo  Kwa fedha za wahisani bil 5.7 na kufanya jumla ya makisio kuwa ni Bilioni 34.9.


Aidha Kwa Upande wa matumizi pia Maziku Amesema kuwa Halmashauri  imekisia kutumia  jumla ya shilingi bilioni 34.9 kutokana na vyanzo mbali mbali vya Mapato; Amesema Upande wa Mapato ya ndani Kwa Upande wa mishahara Halmashauri itatumia Tsh million 23.3 matumizi ya Kawaida Tsh milioni 2.1 miradi ya maendeleo Kwa Mapato huru ni milioni 448.6 miradi ya maendeleo Kwa  Mapato fungwa ni Bilioni 1,044,000,391.54 Kwa hiyo na kufanya kuwa na Tsh bilion 3.6 ambayo itatumika Kwa Mapato ya ndani.


 Maziku Amesema kwa Upande wa Ruzuku ya Serikali Kuu  Halmashauri imekisia kutumia jumla ya shilingi bilioni 18.7kwa ajili ya mishahara matumizi ya kawaida bilioni 1.1 miradi ya maendeleo bilioni 5.6 na  wahisani mbalibali bilioni 5.7 na kufanya jumla yamatumizi ya Bilioni 34.9.


Akitoa salamu  za Serikali Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda Amesema kuwa Ili shughuli za Serikali ziweze kwenda kwa Ufanisi mkubwa Bajeti ni kitu muhimu sana, " Bajeti ndiyo itakayo tuambia tunaend kutekeleza miradi mingapi katika sekta mbali mbali iwe Elimu , Barabara, maji, liwe Umeme Afya  na nyinginezo". Amesema DC Mwenda.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.