• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA; YAPITISHA JUMLA YA TSH BILIONI 34.9 KATIKA RASIMU YA BAJETI YA MWAKA. MPYA 2024 -2025:

Posted on: December 3rd, 2023

 Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida , limepitisha Kwa kauli Moja rasimu ya bajeti  ya mapato na matumizi Jumla ya shilingi bilioni 34.9  Kwa Mwaka Mpya wa fedha ujao  2024 -2025  katika kikao Maalumu Cha Baraza la Madiwani  kilichoketi Machi 07 Mwaka huu katika Ukumbi mkubwa wa mikutano katika Halmashauri hiyo.


 Akisoma Bajeti hiyo Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo  Gunnah Charles Maziku Amesema kuwa  Halmashauri ya Iramba imeweka makisio hayo kutoka na  kupata fedha hizo katika vyanzo mbali mbali ikiwemo Mapato ya ndani kiasi Cha Tsh. BL 3.6  mishahara  bilioni 18.7Matumizi mengineyo bln1.1miradi ya maendeleo Ruzuku kutoka Serikali kuu , bilioni 5. 6  na miradi ya maendeleo  Kwa fedha za wahisani bil 5.7 na kufanya jumla ya makisio kuwa ni Bilioni 34.9.


Aidha Kwa Upande wa matumizi pia Maziku Amesema kuwa Halmashauri  imekisia kutumia  jumla ya shilingi bilioni 34.9 kutokana na vyanzo mbali mbali vya Mapato; Amesema Upande wa Mapato ya ndani Kwa Upande wa mishahara Halmashauri itatumia Tsh million 23.3 matumizi ya Kawaida Tsh milioni 2.1 miradi ya maendeleo Kwa Mapato huru ni milioni 448.6 miradi ya maendeleo Kwa  Mapato fungwa ni Bilioni 1,044,000,391.54 Kwa hiyo na kufanya kuwa na Tsh bilion 3.6 ambayo itatumika Kwa Mapato ya ndani.


 Maziku Amesema kwa Upande wa Ruzuku ya Serikali Kuu  Halmashauri imekisia kutumia jumla ya shilingi bilioni 18.7kwa ajili ya mishahara matumizi ya kawaida bilioni 1.1 miradi ya maendeleo bilioni 5.6 na  wahisani mbalibali bilioni 5.7 na kufanya jumla yamatumizi ya Bilioni 34.9.


Akitoa salamu  za Serikali Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda Amesema kuwa Ili shughuli za Serikali ziweze kwenda kwa Ufanisi mkubwa Bajeti ni kitu muhimu sana, " Bajeti ndiyo itakayo tuambia tunaend kutekeleza miradi mingapi katika sekta mbali mbali iwe Elimu , Barabara, maji, liwe Umeme Afya  na nyinginezo". Amesema DC Mwenda.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.