• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

ZAIDI YA Tsh. MIL. 14.5 ZIMETUMIKA KUTOA MOTISHA KWA WALIMU, SHULE NA KATA WAKIWEMO WANAFUNZI 10 WALIOFAULU KWA KIWANGO CHA JUU WILAYANI IRAMBA KWENYE MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE 2023 KWA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA IRAMBA, MKOANI SINGIDA.

Posted on: April 9th, 2024

Mgeni rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda,ametoa zawadi mbalimbali ,ikiwemo fedha taslimu kwa wanafunzi 10 waliofaulu vizuri katika mtihani wa Kumaliza elimu ya Msingi  (Darasa la Saba), Walimu waliofaulisha vizuri katika  masomo yao, Shule zilizoongeza ufaulu, Shule zilizoongoza kwa Kata kupewa motisha za Kompyuta ;


Zawadi nyingine ni kwa Shule Bora 6 zilizoongoza Kiwilaya pia Kata zilizoongoza Kiwilaya kwa ufaulu, Kata zilizoongeza ufaulu kwa kiasi kikubwa  Kiwilaya, Shule binafsi zilizoongoza ufaulu Kiwilaya na shule iliyoongeza ufaulu kwa kiasi kikubwa sana  Kiwilaya (Mwamapuli iliyopo Kata ya Kidaru)


"Kuongeza ufaulu kwa darasa la Nne na darasa la Saba katika Shule, katika Kata, Ni kazi kubwa na juhudi kubwa Sana Hongereni sanasana ,Tangu niwe Mkuu wa Wilaya hapa, nilikuta kiwango cha ufaulu kilikuwa alama 58 lakini mmejitahidi ndani ya Miaka 3  kuongeza asilimia za ufaulu kutoka 58 na sasa ni 71.9"  Amesema Mwenda.


"Lengo letu ilikuwa ni kufikia asilimia 85 lakini  kwa sasa Mkuu wa Mkoa amekuja na lengo lake, na Kwa kuwa Mkuu wa Mkoa ni kiongozi wetu wa Mkoa yeye amelenga kufikia asilimia 90 hivyo Naamini kwa msimu huu  tutajitahidi tufikie lengo hili " Amesisitiza Kiongozi huyo.


Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida, Michael Matomora amesema, yeye na menejimenti yake wameona  ni vema kuwamotisha Walimu kutokana na kazi kubwa ya kutoka kwenye nafasi ya Mwisho  katika Mkoa. Pia Kuongeza alama ingawa bado tunatakiwa kushika  nafasi tatu za juu zaidi.


Mwenyekiti wa huduma za Jamii Wilfred Kizanga, Amewataka Walimu kishirikiana  na kuondoka katika nafasi za Mwisho kwani Iramba  siyo Mrithi wa nafasi hizo, Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba  Innocent Msengi, Amewataka Maafisa Elimu Kata kuvua vyeo vyao na kishirikiana na Walimu, Vilevile  Walimu wakuu nao vivyo hivyo kwa ushirikiano huo, Iramba itashika  nafasi tatu za kwanza Kimkoa

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.