• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

ZAIDI YA Tsh. MIL. 14.5 ZIMETUMIKA KUTOA MOTISHA KWA WALIMU, SHULE NA KATA WAKIWEMO WANAFUNZI 10 WALIOFAULU KWA KIWANGO CHA JUU WILAYANI IRAMBA KWENYE MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE 2023 KWA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA IRAMBA, MKOANI SINGIDA.

Posted on: April 9th, 2024

Mgeni rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda,ametoa zawadi mbalimbali ,ikiwemo fedha taslimu kwa wanafunzi 10 waliofaulu vizuri katika mtihani wa Kumaliza elimu ya Msingi  (Darasa la Saba), Walimu waliofaulisha vizuri katika  masomo yao, Shule zilizoongeza ufaulu, Shule zilizoongoza kwa Kata kupewa motisha za Kompyuta ;


Zawadi nyingine ni kwa Shule Bora 6 zilizoongoza Kiwilaya pia Kata zilizoongoza Kiwilaya kwa ufaulu, Kata zilizoongeza ufaulu kwa kiasi kikubwa  Kiwilaya, Shule binafsi zilizoongoza ufaulu Kiwilaya na shule iliyoongeza ufaulu kwa kiasi kikubwa sana  Kiwilaya (Mwamapuli iliyopo Kata ya Kidaru)


"Kuongeza ufaulu kwa darasa la Nne na darasa la Saba katika Shule, katika Kata, Ni kazi kubwa na juhudi kubwa Sana Hongereni sanasana ,Tangu niwe Mkuu wa Wilaya hapa, nilikuta kiwango cha ufaulu kilikuwa alama 58 lakini mmejitahidi ndani ya Miaka 3  kuongeza asilimia za ufaulu kutoka 58 na sasa ni 71.9"  Amesema Mwenda.


"Lengo letu ilikuwa ni kufikia asilimia 85 lakini  kwa sasa Mkuu wa Mkoa amekuja na lengo lake, na Kwa kuwa Mkuu wa Mkoa ni kiongozi wetu wa Mkoa yeye amelenga kufikia asilimia 90 hivyo Naamini kwa msimu huu  tutajitahidi tufikie lengo hili " Amesisitiza Kiongozi huyo.


Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida, Michael Matomora amesema, yeye na menejimenti yake wameona  ni vema kuwamotisha Walimu kutokana na kazi kubwa ya kutoka kwenye nafasi ya Mwisho  katika Mkoa. Pia Kuongeza alama ingawa bado tunatakiwa kushika  nafasi tatu za juu zaidi.


Mwenyekiti wa huduma za Jamii Wilfred Kizanga, Amewataka Walimu kishirikiana  na kuondoka katika nafasi za Mwisho kwani Iramba  siyo Mrithi wa nafasi hizo, Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba  Innocent Msengi, Amewataka Maafisa Elimu Kata kuvua vyeo vyao na kishirikiana na Walimu, Vilevile  Walimu wakuu nao vivyo hivyo kwa ushirikiano huo, Iramba itashika  nafasi tatu za kwanza Kimkoa

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.