• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

ZIARA YA WAH MADIWANI WAJUMBE WA KAMATI YA FEDHA, MIPANGO NA UTAWALA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 23 JANUARI, 2023

Posted on: January 23rd, 2023

ZIARA YA WAH MADIWANI WAJUMBE WA KAMATI YA FEDHA, MIPANGO NA UTAWALA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 23 JANUARI, 2023

Kamati ya Fedha Mipango na Utawala imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba. Kamati inafanya hivyo kwa mujibu wa kanuni ya 44(3) ya kanuni za kudumu ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, 2013 zikisomwa kwa pamoja na jedwali la kanuni sehemu A kipengele cha (i) cha kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya , 2013.

Kamati ya Fedha Mipango na Utawala imetembelea na kukagua Mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa Shule ya Sekondari ya Kidaru unaojengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu, mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Tyegelo kwa kutumia fedha za Tozo, ukamilishaji wa vyumba vya madarasa mawili na ofisi tatu katika sekondari ya Ntwike unaojengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu ,ujenzi wa zahanati ya wembere kupitia Globa Fund. katika Kata ya Shelui na ujenzi wa Sekondari ya Dkt. Mwigulu

 

MRADI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA VINNE (4)  KATIKA SHULE YA SEKONDARI KIDARU


Kamati ilitembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa vyumba viwili na ukamilishaji wa vyumba viwili vya madarasa katika Shule ya Sekondari Kidaru. Wajumbe wa kamati walipongeza uongozi  kwa usimamizi mzuri wa miradi kwani inaridhisha.

MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA TYEGELO

Kamati imetembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Tyegelo ambapo kuna ujenzi wa mradi wa jengo la OPD, Jengo la maabara, jengo la kichomea taka, jengo la mama na mtoto, jengo la upasuaji na jengo la kufulia kupitia fedha za Tozo.  Wajumbe wa kamati walipongeza uongozi wa Kijiji ,uongozi wa Kata na Kamati ya Ujenzi kwa usimamizi mzuri wa miradi. Vile vile Wajumbe wa Kamati wameagiza ifikapo Februari, 2023 majengo yawe yamekamilika na Kituo kianze kufanya kazi.

MRADI WA UKAMILISHAJI WA UJENZI WA VYUMBA VIWILI VYA MADARASA YENYE OFISI KATIKATI SHULE YA SEKONDARI NTWIKE.

Mradi wa ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa yenye ofisi katikati na Ofisi ya walimu ulianza kutekelezwa kuanzia tarehe 04 Oktoba, 2022 ambapo madarasa mawili na Ofisi katikati imekamilika,

MRADI WA UJENZI WA ZAHANATI WEMBERE

Mradi wa ujenzi wa zahanati mpya katika Kijiji cha Wembere, Serikali imetoa fedha kupitia Globa Fund ili kuwezesha kujenga Zahanati hii baada ya wananchi wa Wembere na Tintigulu kupata changamoto ya huduma ya afya kwa muda mrefu. Wajumbe walisisitiza mafundi wahimizwe waweze kukamilisha mradi haraka kwakuwa vifaa vipo ili huduma ianze kutolewa kwa wananchi.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.