• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI WAPANDA MITI 3500 KATA YA MGONGO

Posted on: March 9th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleimani Yusuph Mwenda ameongoza Wakuu wa divisheni na vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iramba,Wananchi wilayani hapa kupanda miti 3500 katika  Vijiji vya Kizonzo na Mseko  vilivyopo Kata ya Mgongo ikiwa ni sehemu ya Kampeni ya upandaji miti kwa Wilaya ya Iramba  yenye lengo la kuifanya Iramba iwe ya kijani.

Akizungumzia siku hiyo Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleimani Yusuph Mwenda ,amesema siku ya Upandaji miti imelenga  kuiweka Pamoja Viongozi na Wananchi  ili kushirikiana katika mambo mbalimbali ya kijamii, ambapo aliwataka Wananchi kutoa ushirikiano katika kubaini vitendo vya kihalifu katika jamii.

Aidha, DC Mwenda.  amewataka Wananchi  wa Vijiji hivyo kutunza Miti iliyopandwa  leo Machi 9, 2023 ili ilete tija kwao na kwa kizazi kijacho

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Mkuu wa divisheni ya rasilimali watu  amesema kuwa maelekezo ya Kitaifa ni kuhakikisha kila Wilaya inapanda Miti isiyopungua Milioni moja na Laki tano(1,500,000) na kila  Kaya kupanda Miti isiyopungua Minne(4)  ambapo aliwataka Wananchi kutumia jitihada binafsi  katika kufanikisha zoezi hilo.

Afisa  Mtendaji  Kata ya Mgongo ,Maria Daudi  ametaja umuhimu wa zoezi hilo na kueleza mikakati watakayochukua kutunza Miti hiyo ikiwemo kuchukua hatua za kisheria kwa yeyote atakaye bainika kubeza juhudi za Serikali zinazolenga kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi.

Hii ni awamu ya Tatu ya zoezi la upandaji Miti Wilayani hapa ambapo zoezi la kwanza lilianza  siku ya uhuru wa Tanganyika, awamu ya pili ilizinduliwa hivi karibu na Mkuu wa Mkoa wa Singida  na leo ni awamu ya Tatu ambapo jumla ya miti Elfu tatu na mia  tano(3500) Kata ya Mgongo vijiji vya Mseko na Kizonzo

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.