Posted on: December 20th, 2018
Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoani Singida Mhe: Emmanuel Luhahula amekabidhi mradi wa maji kijiji cha Mlandala kata ya Urughu Tarafa ya Ndago wilayani Iramba mkoa wa singida.
Mhe: Emmanuel Luhahula am...
Posted on: December 15th, 2018
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewasha rasmi umeme katika kijiji cha New Kiomboi kata ya Kiomboi wilayani Iramba mkoa wa Singida leo Tarehe 15 Desemba 2018.
Mhe. Dkt. Medard Kalemani amef...
Posted on: November 10th, 2018
Mgodi wa Dhahabu wa Geita GGM uliopo mkoani Geita umefadhili mifuko ya saruji 600 kwa ajili ya Ujenzi wa Bweni la wanafunzi shule ya sekondari Kinambeu kata ya Old Kiomboi wilaya ya Iramba.
Akikabi...